Selfika na JF: Snap it. Show it

Mhmmmm hivi mtu akitaka kuwa babe wako anatakiwa awe mababe kiasi gani lamo? Unaonekana ngumi mkononi kinouma
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น Kuniwin mimi inatakiwa ujipange kisawa sawa..!!

Kuna siku nilimkaribisha ex wangu home akajua namrudia, nilimwambia ukikaribia kufika nishtue akasema, sawa hamna shida..!!

Alivyokaribia akaniambia nipo kona ya kuingilia kwako nikasema sawa utafungua gate uingie niko kuoga..!!

Hapo kulikua na mbwa mpya nimemnunua sasa nilitaka nione ufanisi wake kwenye kukamata wezi nikamuachia ๐Ÿ˜น

Anaingia tu askari huyu kakamata miguu aliita mimi kimyaโ€ฆ!! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
 
Hahahahaha wewe utakuja kamatika tu ๐Ÿคช
 
Sa itakuaje mchuchu hahaha
 
Hahahahahaha huyo demu akataka akudangie akaona Lemadam linamihela,
Eenh, sasa ukamtokaje tokaje maana nawajua hao ruba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ