Punguza ushamba wa kutongoza na kulala na kila mwanamke humu. Wewe ni kokoro? Una miaka 37 lakini unajifanya eti mzee halafu unatongoza hovyo hovyo tu kila mwanamke humu. Unamtia aibu mkeo na watoto hapo Kigamboni na Mbeya. Jiheshimu bana. Tunaomfahamu mkeo tunasikitika sana. Acha ulimbukeni na tulia na mkeo. Be a real man! 📌📌📌📌