min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 46,437
- 127,782
Nyie ni watu wa maana mno namisi hili vibe mno🤫
Nyie ni watu wa maana mno namisi hili vibe mno🤫
Acha hizo tule pombe , mimi mwanamke ambae hatumii pombe namwona mlokole tuAaanhaaa sawa, mimi siyo mlevi 🤣🤭
Mishale ya Apocalypto imekosa chura wa sumu tu 😅Kisa umeona toothpick😂
Sawa, nikuombee mapepo ya wapi yakutoke?Acha hizo tule pombe , mimi mwanamke ambae hatumii pombe namwona mlokole tu
Si utaharibu, tuanze kukuangalia tofauti ukileta recipes mpya!Kwanini tena ma mtu
Pombe tamu sana ila viwanja classic vya kula pombe ni arusha tu dar uwongo🤔
Halafu mnywa vyoda anywa vya afu tatu tu unafiki anaachaje sasa inabidi awe kwenye uangalizi 🤣Usimwache mnywa vyoda akae bar mpaka sa sita usiku , huwa wana mwanya wa umbea na unafki hasa pale unapo agiza pombe za 2mil za kitanzania ili kila mtu apate🤔
Hekima zake hujaziona bado 😅Ahahh au sio
Binti wa zamani sihitaji maombi ujue mimi ni mangi mtamu mda wote nafanya ninacho taka😊Sawa, nikuombee mapepo ya wapi yakutoke?
Wapumbavu sana , hawa kenge kuna mmoja alisema nashinda jf mshahara wake sijui hata una hali gani🤔Halafu mnywa vyoda anywa vya afu tatu tu unafiki anaachaje sasa inabidi awe kwenye uangalizi 🤣
Mimi nimesoma “Mangi mtamu” tu hayo mengine sijaona.Binti wa zamani sihitaji maombi ujue mimi ni mangi mtamu mda wote nafanya ninacho taka😊
Usitoke mdada mzuriMimi nimesoma “Mangi mtamu” tu hayo mengine sijaona.
Anyway, ngoja nitoke humu kabla sijasababisha irrevocable damage 😂😂
Si mmesema niwe nakunya pombe auMishale ya Apocalypto imekosa chura wa sumu tu 😅
Na kuna dumu la kizungu 🤣🤣
Kaka unakula bata kinouma 😅
apana bhna ilo haliwez tokeaSi utaharibu, tuanze kukuangalia tofauti ukileta recipes mpya!
Nasikia mabinti wa huko wazuri mnoNiko Burundi