Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,977
- 177,200
Picha za kilingeni zipo wapi mtani?
Sasa wanaume wahivo ndo wa kuwaogopa mpo na hatari zenyu sio za nchi hii!Hahaha live mimi ni mpole sana , mpaka usikie nimeongea ni ngumu mno huwa naongea ndani kwa ndani tu ,😅
Hivi wewe ni antonia? Ile Id siiongi huku, then mnamatch sana vibes zenu, mpaka maandishiMuwe na mchana mwema wapendwa. Calling it a day
😁😁😁😁😁😁!Hivi wewe ni antonia? Ile Id siiongi huku, then mnamatch sana vibes zenu, mpaka maandishi
Na wewe piaMuwe na mchana mwema wapendwa. Calling it a day
Kitanda kinaonesha kulikuwa na maoigano makali sana mpaka mmoja kakimbia
Woooow,,,long time ! Dahh, ile id ilipotea , kumbe ni wewe uliswitch ? Nafurahi uuh mzima wa afya !!!!! Offcourse ni kweli nilikuwa sielewi elewi, sasa hii I'd yako nikawa naihisi, nikasema wacha kuna siku ntakuuliza !!!!😁😁😁😁😁😁!
Ndiomana kuna kipindi nilikuwa nakutagig kwenye story / simulizi ila huelewi elewi!
Ndoyeye.
Li ankal langu lizuri 😍
Ushanunua na zana naona😃😃I still repeat
No man will be buried uncircumcised, as long as I'm still working at the mortuary.
Evelyn Salt, Selikavu, dosho12, Edo kissy, Marco Seth, Smooth Criminal
View attachment 3401785
😹😹😹I still repeat
No man will be buried uncircumcised, as long as I'm still working at the mortuary.
Evelyn Salt, Selikavu, dosho12, Edo kissy, Marco Seth, Smooth Criminal
View attachment 3401785
Naam na improve huduma 🤣😂Ushanunua na zana naona😃😃