Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,482
- 203,154
Unamwambia kuna kabinti hapo mbele tukapitie 😂Nimepewa lift pia. Ile mtu umepewa lift halafu na wewe unatoa lift
Unamwambia kuna kabinti hapo mbele tukapitie 😂Nimepewa lift pia. Ile mtu umepewa lift halafu na wewe unatoa lift
Haya tukuchukue wapi? Sema..Unamwambia kuna kabinti hapo mbele tukapitie![]()
Hapo juuWapi tena
Haha ni yangu ndio mana siweki picha maana tayari ipo kwenye avantaryMkuu hiyo Avatar ni yako? Aisee nimependa mdomo na kidevu
Mmh haya. Midomo inashawishiHaha ni yangu ndio mana siweki picha maana tayari ipo kwenye avantary






Zipo nyingine nimeongeza.Ulifuta ipo ile uliyosema unaingia mjengoni
Nikupe?Mmh haya. Midomo inashawishi![]()
Hahahaaa dah unanionea tuHalafu jama mnaovaaga makoti wakati jua linapiga mnakuwaga matapeli sana...hahaha!!!
Nitumie pembeni huu uzi speed yake ni supersonicZipo nyingine nimeongeza.
Halafu hizo za mjenhoni zinatosha kabisa mbona
Nipe bas, nikae nayo hata kwa dakika kumi tu nitakurudishiaNikupe?
Subiri nyingine ya usiku
Hahaha dk10 utakuwa umetosheka kweliNipe bas, nikae nayo hata kwa dakika kumi tu nitakurudishia
Dah sijui, we will seeHahaha dk10 utakuwa umetosheka kweli
Katafute.Nitumie pembeni huu uzi speed yake ni supersonic
Koh kohDah... Hiyo ndio yenyewe sasa.. Na zawadi takupa![]()