Selfika na JF: Snap it. Show it

Pole mkuu
 
Hahah kwamba mimi na dokta tuna haiba zinazofanana🤣🤣🤣
 
Pole sana, tuko pamoja. Duniani tunapita. Kuna siku za furaha, huzuni ndiyo inafanya iwe dunia kamili. Kosa si kufanya kosa, kosa ni kurudia kosa. Tujitahidi japo ni kama shetani zile karatasi. Wakati unatoa, huoni zikipungua. Mpaka sifuri zinanze kupungua ndiyo unashtuka 😔😔😔😔
 
Mzee wetu hajambo?, mpe Salam mwambia mwanae namsalimia na kumwombea kheri Sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…