Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,242
- 90,420
Nimekupata MkuuNdio boss
Nimekupata MkuuNdio boss
Unapandishia kwa wazee wateule au mkuu.🤣🤣🤣, Au mpya nyingine
Upo?Unapandishia kwa wazee wateule au mkuu.🤣🤣🤣, Au mpya nyingine
Pm kwann wewe weka zigo hilo waungwana jpili iende vizuri 😹😹Njoo pm uzione vizuri...hapa nitaharibu hali ya hewa
Wee mbona hujaweka titi lako hapa tulionePm kwann wewe weka zigo hilo waungwana jpili iende vizuri 😹😹
Uko uko bado unakumbu kumbuUnapandishia kwa wazee wateule au mkuu.🤣🤣🤣, Au mpya nyingine
Wewe umesema makengele yanatoa unga ndo nilitaka tuone uenda ukapata tiba 😹😹Wee mbona hujaweka titi lako hapa tulione
Tupo tunakusalimu mekuUpo?
Ahahah embu anza wewe bossNgoja Mwachiluwi afunge breki aweke selfie ya mlio wa calipers zake 😅
Pazuri sana na ule ukijani 🥹🥹 na ule ukimya kama hakuna wale waduduUko uko bado unakumbu kumbu
Jua likiwaka hautapataka pakavuPazuri sana na ule ukijani 🥹🥹 na ule ukimya kama hakuna wale wadudu
Vumbi sasa aaaai.😌😌 Maji sasa hivi yakutosha Hadi mnamwagilia?Jua likiwaka hautapataka pakavu
Ah tiba sii kuyaosha na omo na kuyasugua na brushWewe umesema makengele yanatoa unga ndo nilitaka tuone uenda ukapata tiba 😹😹
Aha walichimba kisima karibu ka kwa laibon pale so maji yapo labda umeme ukatike au mashine yakupandishia izingueVumbi sasa aaaai.😌😌 Maji sasa hivi yakutosha Hadi mnamwagilia?
Marahabah mpo poa lakini?Tupo tunakusalimu meku
🙄🙄Huna umri wakupokea marahaba kutoka kwangu . Labda hiyo -ra- iwepo kimakosa. Jiangalie leloo 🤣🤣Marahabah mpo poa lakini?
Mambo my🙄🙄Huna umri wakupokea marahaba kutoka kwangu . Labda hiyo -ra- iwepo kimakosa. Jiangalie leloo 🤣🤣
Tulia wewe 😁🙄🙄Huna umri wakupokea marahaba kutoka kwangu . Labda hiyo -ra- iwepo kimakosa. Jiangalie leloo 🤣🤣
Njoo upate soup au macchiato, hapa Tanga beach tajiri .Mambo my