Labella
JF-Expert Member
- Jun 26, 2024
- 3,549
- 7,619
Maeneo yako ya kudangia 😹😹😹Pole sana ndugu aisee hapa miyeyusho sana wenye dau kubwa ndio wanasepa na watoto wakali
Maeneo yako ya kudangia 😹😹😹Pole sana ndugu aisee hapa miyeyusho sana wenye dau kubwa ndio wanasepa na watoto wakali
Kuna siku nililewa nikawa nachati humu , asubuh yake nikawa napita nafuta tu😆😆😆😆😆Duh hiyo hatari
Ndiyo maana watu husema Siri ni ya watu wawili, lakini inategemeana na unayempa Siri yenyewe
Imagine unampa Siri min -me akiwa na beer ya pili, akifikisha beer ya 8 anaiweka hadharani 😜
Hahahaha.....................unakuta unahaidi kabisa hutasema Siri ya muhusika, lakini baada ya beer ya 6 unaanza kumwaga Mchele kwenye Kuku wengi 😅Kuna siku nililewa nikawa nachati humu , asubuh yake nikawa napita nafuta tu😆😆😆😆😆
Hongera sana kijanaSio kila siku kuvaa suruali ndefu mda mwingine vaa pensi miguu ipitie hewa min -me Zulu man De Opera MENEMENE TEKERI NA PERESI mshamba_hachekwi Half american
Sema hii nyumba kama naifananisha hv😁Please welcome to my ignore list..
Kariakoo 😎View attachment 3197695
Acha mbaya iyo itakuchafuaSema hii nyumba kama naifananisha hv😁
TunakusubirHongera sana kijana
Nitaweka muda si mrefu visimamio vyangu
Sema ngoja nikae pembeniAcha mbaya iyo itakuchafua
Hii sasa kiboko
WivuHii sasa kiboko
Ahahahah ndio uvae viatuWivu
NaaaamAhahahah ndio uvae viatu
Sio kila miguu ni ya kuanika nje! Stick zinapaswa zikae ndani ya kopo. 😂Sio kila siku kuvaa suruali ndefu mda mwingine vaa pensi miguu ipitie hewa min -me Zulu man De Opera MENEMENE TEKERI NA PERESI mshamba_hachekwi Half american
Ahahahah muhimu ufe na fashionSio kila miguu ni ya kuanika nje! Stick zinapaswa zikae ndani ya kopo. 😂
Kuna mingine mi upinde wa mvua sema inamiss rangi tu. 😂