Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,467
- 65,790
Oh kukbe selfika kidogoNipo. Nilikuwa naingia nasoma na kutoka..ila nipo
Oh kukbe selfika kidogoNipo. Nilikuwa naingia nasoma na kutoka..ila nipo
Oh kukbe selfNipo. Nilikuwa naingia nasoma na kutoka..ila nipo
Kisukar now kitapandaWewe mpk nikupandishe presha unywe Pepsi ndo utatulia 😹😹😹
Ila hiyo ngeli yako 🤭😹
Hufai kuwa jasusi.Ahahaha nakufundisha ujanja
Ahahah embu nipe namba ya bibi wa kizunguHufai kuwa jasusi.
CountrywideWivuuuuuuuu 😹😹😹
Rangi ninayo aisee mazee ya mtume urithi kutoka kwa bibi
CountrywideWewe mpk nikupandishe presha unywe Pepsi ndo utatulia 😹😹😹
Ila hiyo ngeli yako 🤭😹
Warembo hutaki?Ahahah embu nipe namba ya bibi wa kizungu
Hapana mimi nataka vibibiWarembo hutaki?
YupoYupo hivi?
Mie sio mgeni jijini 🤣Salimia watu😂😂
Wapi 😹😹Yupo
Yupo busy na new baby 😆Wapi 😹😹
Weeh.!! Yupi huyo em nipe ubuyu.Yupo busy na new baby 😆
Ujaacha tu🤣🤣🤣🤣 nimechekaUmenogaa 😍😍
Shemeji aongeze mahari mtoto uko mlito awwww 🥰
Naachaje kwa mfano 😹😹Ujaacha tu🤣🤣🤣🤣 nimecheka
Niko Single nitafitie mzungu
Bado hajamtambulisha ila anamsifia balaa, ngoja tuone hapa kama ataambulia ndoa, maana kwa Habibu penzi likitaradadi humu jf acha kabisa afu wakaachana 🙁. kama wewe na Countrywide wambea tunasema mtaachana tuu 😆Weeh.!! Yupi huyo em nipe ubuyu.
Mambo ninayoyapenda 😹😹😹
Mi mmbea ila wewe shogaangu UMENISHINDA khaaaa.!! 🙌😹😹😹Bado hajamtambulisha ila anamsifia balaa, ngoja tuone hapa kama ataambulia ndoa, maana kwa Habibu penzi likitaradadi humu jf acha kabisa afu wakaachana 🙁. kama wewe na Countrywide wambea tunasema mtaachana tuu 😆
🤣🤣🤣 Id yangu ndo hii hii, shoga lisije kumkuta jambo kwa mara nyingine 😫, afu second born wake ni wa penzi jipya au lile la zamani?Mi mmbea ila wewe shogaangu UMENISHINDA khaaaa.!! 🙌😹😹😹
Id yako ya mwanzo ipi shoo 🤣
Ila naona lile penzi limeegemea upande mmoja mbona shem sioni km naye anamaanisha, shoga yetu ndo anajieleza sana eeehh alooooo.!! 👌😹