EEX
JF-Expert Member
- Oct 19, 2014
- 4,130
- 13,376
Swadakta kunakucha sana Jmosi.Nikipita weekend ijayo, kama utakuwa around utanipitisha hapo Savanah, nimewahi kusikia habari zake 😜
Swadakta kunakucha sana Jmosi.Nikipita weekend ijayo, kama utakuwa around utanipitisha hapo Savanah, nimewahi kusikia habari zake 😜
Ahahah mlipeana mikonoMwanzoni nilikuwa mstari wa mbele chini, ila baadaye nikahamia Idara ya tehama
Kwahiyo sisi ndiyo tulimwona Idi Amini live live akikimbia uhamishoni
Ahahhahaha vumbi la kigoma buti halina hali kabisaSijaona buti mkuu. Umelipiga kiwi lakini? 😂
Nani apeane mikono na lile baradhuliAhahah mlipeana mikono
Nitapita hapo weekend mojaSwadakta kunakucha sana Jmosi.
Ahaha enzi zako ulikuw mtemi sioNani apeane mikono na lile baradhuli
Bila kukimbia tungemnywa Supu nakwambia, maana tulishachafukwa kwaajili yake
Hahaha.....sio sana ila tulichafukwa tu wakati huoAhaha enzi zako ulikuw mtemi sio
Weeknd wapiHahaha.....sio sana ila tulichafukwa tu wakati huo
Kwema dada yanguVincenzo Jr kaka angu
Inabidi mbadilishe kiwi mpake ile inayofanana na vumbi. 😄Ahahhahaha vumbi la kigoma buti halina hali kabisa
Ahahahah acha tuInabidi mbadilishe kiwi mpake ile inayofanana na vumbi. 😄
Mkuu nahisi harufu ya migebuka!
🤣🤣🤣 Umetaka kazi Fanya kazi
Ahahah kazi inauma hii🤣🤣🤣 Umetaka kazi Fanya kazi
Mwache akaone mwenyewee.Ahahah kazi inauma hii
Duh nilitaka niseme kitu sema wakili wangu hayupo 😂😂😂Saturdays are for weddings😝 jmosi njema great thinkers