NAKAZIA.Ila Mwachi, mro ndio kitu gani?
Amen, na iwe hivyo.
Amina haya selfika imekua siku nyingi sanaAmen, na iwe hivyo.
uwii, nimejiletaAmina haya selfika imekua siku nyingi sana
Sawa selfikauwii, nimejileta
Mkuu, hivo vyote ni vitu vya kunywa.
Hiyo Silaha imenikumbusha Mwaka 47 wakati tupo front katika kumtandika Eid Amini
Aaahhah watu hawatak utaniMkuu, hivo vyote ni vitu vya kunywa.
Ukileta kiu, unapewa maji.
Ukileta joto, unapewa soda baridi.
Ukileta ujinga, unapewa ya kichwa. 😄
Wewe ulikuwa mstari wa mbele au ndio ulikuwa unabeba maji kupeleka wenzioHiyo Silaha imenikumbusha Mwaka 47 wakati tupo front katika kumtandika Eid Amini
Kweli tumezeeka sasa 🙌
Mwanzoni nilikuwa mstari wa mbele chini, ila baadaye nikahamia Idara ya tehamaWewe ulikuwa mstari wa mbele au ndio ulikuwa unabeba maji kupeleka wenzio
Kimsichana 😍😍😍
Mitaa yenu ya KujidaiBaltazar la Kihesa.View attachment 3159004
Mimi mzee utanikuta Savanah au Makutano .Mitaa yenu ya Kujidai
Leo weekend wanavyuo kama wote hapo Royal na Miami
Chuma kama ziko showroom vile saaafii 🔥Gaborone,BotswanaView attachment 3154395
Nikipita weekend ijayo, kama utakuwa around utanipitisha hapo Savanah, nimewahi kusikia habari zake 😜Mimi mzee utanikuta Savanah au Makutano .
Sijaona buti mkuu. Umelipiga kiwi lakini? 😂Aaahhah watu hawatak utani