Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,488
MmmhhhLangu liwe jekundu halafu nivishwe kibwaya na mahirizi hirizi
MmmhhhLangu liwe jekundu halafu nivishwe kibwaya na mahirizi hirizi
Hakunaga kidogo jamani kaka, kikitoka ndani ya moyo ni kingi mnoo [emoji120][emoji120]!Kidogo sana
😂😂😂Mwenye dada hakosi shemeji, ukweli mchungu huo mdogo wangu!!Hahahahaha
Kaka jamani, ujue naona aibu jamani!
Nitakuja soon tuwe tunajog aki!Mji wa wenye mji...things are not moving...unatamani uweke chombo ya miguu minne kando View attachment 1283641
Hahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23]Mwenye dada hakosi shemeji, ukweli mchungu huo mdogo wangu!!
Sahara wapo fresh
Mdogo wangu mtunane yupo vizuri, vocals zinapangwa zipangike. Sasa we jikune tu hapo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125]Hahahahaha
Mbona shemeji jamani kaka!
Nitavunga mkuu, nitajifanya sijawaona huku nikirukaruka kwa furaha, hakuna raha kama siku ile naulizwa, "Nani anamtoa Sakayo kuolewa na Watu8[emoji125][emoji125][emoji125] ", nami najibu kwa bashasha kabisa na suti yangu ya kuazima[emoji23][emoji23][emoji125]Hahaha...kimbilia the other direction mkuu huko unaenda unakuja mahali nipo na Sakayo
Natamani hata nikuje kukuchukua leo [emoji73]Nitakuja soon tuwe tunajog aki!
Naambia your big bro achange direction coz mahali anahepea ndio mimi na wewe tulipo...Abeeee
Ndiyo nini mkuuSahara wapo fresh
Mji wa wenye mji...things are not moving...unatamani uweke chombo ya miguu minne kando View attachment 1283641