Selfika na JF: Snap it. Show it

Anawapigaga mkwara wakina wanaman
Eti hajaree

Muongo
Hawakumuona kipindi ana machawa alivyokuwa anatamba
Thubutuuu.!! 🀣🀣🀣

Yeye shanga atulie sisi ndio wanajeshi wake wa vita na hili analijua vizuri labda km anajizima data…!!
Waasi walikuwa wanaenda kumpoteza na huyo sele asingerudi.. em kwanza atulipe NSSF zetu 😹😹😹
 
Kumbe na wewe ni shahidi eeh nilivyokuwa chawa mpambe wa mnywani wakoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Afu sahivi anakudanganya eti jeshi la mtu mmoja bila backup

Haya
Tupia basi nikuone.
Vita zishaisha,amani imetawala
Waliogombana washayamaliza
Halafu ss hivi si tunachangamsha kijiwe, tumeokoka nkamu gwangu si eti? 😹😹😹

Na tunapambana kumrudisha shangazi sokoni 🀣😹
 
Tarehe hizi shangazi anatoa wapi Hela?
Au za uandikishaji daftari la wapiga kura.
 
Halafu ss hivi si tunachangamsha kijiwe, tumeokoka nkamu gwangu si eti? 😹😹😹

Na tunapambana kumrudisha shangazi sokoni 🀣😹
Sisi walokole VIP kabisa
Pamoja na Auntie kukodi ID kutuchafua ila bado tupo kumrudisha kwenye ramani...
Huu ni Upendo wa hali ya juu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…