Nilikuwa nakusubiri mwenyekiti, ndo nini kututelekeza, mi bado naumwa๐Weeh Kapeace usintanie em mpe namba shem, sasa kuna umuhimu gani wa kupewa shape km hutaki kutoa namba.!! ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Tukizikosa pesa za shem ujue ntakununia mfyuuu ๐น๐น
Nineshatoa mbona, hebu mpeleke taratibu mstaafu wangu mwishowe ajikwae,Huyu mgonjwa mbona jeuri hivi? ๐๐
Kapeace mpe namba shem hii ni amri sio ombi nakwambia ๐น๐น๐น
Yani unabembelezwa km wafuasi wa CDM wakaandamane kwann lakini?? ๐คฃ
Kasema hujatoa acha ubabaifu, kwann unamtesa shem hivi lakini?? ๐๐Nineshatoa mbona, hebu mpeleke taratibu mstaafu wangu mwishowe ajikwae,
Hahaha...........lakini si unajua Babu yako nina ile fimbo, sijaitumia nina muda mrefu ujue? ๐๐๐๐ babu Ntakuchapa ujue
Wewe lete hizo korosho kwanza
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃM
Mrembo wadunia...
Tayana-wog
Sellfika basi..
Mzungu dihaUtazaa na nani mahi ๐๐๐๐
Wizoooo uko poaaaHazitaki hizi mbichi shangazi
Kama vipi rudi tu Nkamu umpe kampani.
Sisi team shangazi tunaamini
Shangazi atarudi Kwa kishindo kama awamu ya sita,kujibu yale mapigo ya kina Bantu
Mnywani kama mnywaniLeo Lolote BAYA liwakute Makolo kwa wadogo zenyu!
Muwe na Jioni njema wapendwa
Nitamtuma mdogo angu tayana anifatie korosho babu ๐๐Hahaha...........lakini si unajua Babu yako nina ile fimbo, sijaitumia nina muda mrefu ujue? ๐
Mtume mjumbe aje nimpe Korosho zako, ukiwa na nafasi pitia mwenyewe ofisini kwangu ๐ค
Forever and always mnywanii!!!Mnywani kama mnywani
Sijatoka leo home njoo nikufundishe ile surrat aliyekuambia arsis. Nshashika udhu.
Oyooooooo.!!Leo Lolote BAYA liwakute Makolo kwa wadogo zenyu!
Muwe na Jioni njema wapendwa
Hahaha............huyo akija lazima anipige maombi kama ya Mwamposa ili niache kuvuta Kiko zangu, maana hataki hata kusikia harufu yake๐Nitamtuma mdogo angu tayana anifatie korosho babu ๐๐
๐๐๐ Weeh kwani na shem yule mmeachana??Mzungu diha
We subiri tu๐คฃ
Weuweee๐ฅ๐ฅ๐ฅOyooooooo.!!
Uduguu weee.!! Mtoto mlito udongo wa Dubenga ๐๐๐
Nkamu Saint Anne umeona huku auntie anavyowaka!! Haya ita team yako tayari tusharudisha na tumefunga lingine ubao unasoma 2-1 ๐น๐น๐น
Nilikuwa nasubiri ukae sawa wizo halafu uje useme.l๐ฅฐWizoooo uko poaaa
Keki ya congratulations tafdhali๐คฃ๐คฃ
Najipongezaaa๐
Odo asiogoprUongo ๐๐๐
Nkamu Saint Anne njoo uwe bodyguard wa odo anaogopa.!
๐๐๐Weuweee๐ฅ๐ฅ๐ฅ
Auntie kawaka na hiyo jezi๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
Sipatii picha akitupia na ile ya kitenge.
Halafu ngozi yake sasa inang'aa utasema anaogea maziwa.
Pambano bado bichi hili ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
๐๐๐ odo anaogopaOdo asiogopr
Baunsa zake tupo..tena mimi sitamuacha pekeyake maana muda wote nipo sinaga ban.