Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nyakati huja na kuondoka, acheni tuzeeke, na nashukuru sikuwahi date schoolmate si shule wala chuo, mi ni mpenda wanaume wakubwa wakubwa ndo maana
Hizo pigo nimeletewa sana nilivokua olevel nikiwatupia mistari wakina Aaliyyah pigo zao zilikua boyfriend wangu yupo five na six we mdogo

Ukifika anga za five na six utasikia boy wangu Yuko chuo

Ukifika chuo utasikia wangu Yuko TRA and so on kwaiyo nakuelewa sana.
 
Hizo pigo nimeletewa sana nilivokua olevel nikiwatupia mistari wakina Aaliyyah pigo zao zilikua boyfriend wangu yupo five na six we mdogo

Ukifika anga za five na six utasikia boy wangu Yuko chuo

Ukifika chuo utasikia wangu Yuko TRA and so on kwaiyo nakuelewa sana.
Mi hata haikuwa hivyo, niko form 3 lakini moyo ulikuwa unahusudu wanaume age km za maticha, na ndio hao hao walikuwa wakinimendea zaidi, hao fom 6 bado niliwaona watoto, ndivyo nilivyo mpaka kesho sitegemei kubadilika kwa umri nilionao sasa napenda 43- 52 hapo hapo
 
Mi hata haikuwa hivyo, niko form 3 lakini moyo ulikuwa unahusudu wanaume age km za maticha, na ndio hao hao walikuwa wakinimendea zaidi, hao fom 6 bado niliwaona watoto, ndivyo nilivyo mpaka kesho sitegemei kubadilika kwa umri nilionao sasa napenda 43- 52 hapo hapo
Naam,

Wewe ndio MTU SASA, atleast na wazee tunakumbukwa na kupendwa
 
Wapambe utawaweza basi, sijawahi kutupia picha full kwenye huu uzi jana ndo nilijikakamua, nyingine za kudanlod mtajiju nyie si mnapenda kusafisha macho

Kakimeo kako ni kambea
Acha wapambe sasa

Kuna Wapambe Kazini ni zaidi ya hatarii!

Za kudalod Hivooo hivooo illimradi uzi udamshii!

Mwenyewe na kimeo changu natuma hivooo hivooo sijareee wala neneee! Venye hakuna anaenidai awwww🐒🐒🐒🐒

sio shida zangu kabesaaaaaaa!
 
Acha wapambe sasa

Kuna Wapambe Kazini ni zaidi ya hatarii!

Za kudalod Hivooo hivooo illimradi uzi udamshii!

Mwenyewe na kimeo changu natuma hivooo hivooo sijareee wala neneee! Venye hakuna anaenidai awwww🐒🐒🐒🐒

sio shida zangu kabesaaaaaaa!
Basi nitarudi ila ndo usiku mnene😅😅😅 wenye simu umbea km yako mtakuwa mnakutana nazo asubuhi
 
Back
Top Bottom