Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Humu tusipoangalia tutakesha Kama popo
Tutaponzeka wa kuamka kesho mapema

Usingizi umenibana
Navua samaki kama ndoano babeki

Bwana na awatunze wote.
 
Mimi nalala, nimecheka sana leo. Nyie watu mnachekesha nashangaa ugomvi humu unatokeaje na tunacheka hivi.
Kesho panapo uzima, mimi na Kapeace mtupe somo la picha, tufanyaje ili hata mkiquote zifutike.
Mlale unono nawapenda sana 😘
Usiku mwema tajiri huna baya ulale unono inshallah nakuombea upate baraka za kutosha pokea salamu kutoka kigambonino 😎
 
Umeonaee wanawake tuna mengi jamani mara ngozi mara nywele mara msuko mara makeup nayo idunde uwe kituko, mara pozi bado mpiga picha asiwe na tekno wereva na ajue kuwa mpiga picha bado uwe mcute, kuwa mrembo ni shughuli tunapitia mengi na magumu
Kucha, mazoezi ya kutengeneza shape, wengine kubandika nyusi n.k

Kuna wanawake wameamua kunyoa nywele akiamka asubuhi anachana tu nywele...

Kumbe complications kibao.. poleni sana...
 
Asante ila nakula ndo tatizo, enzi za skuli nikiwa fom 2 c wale mashindikanaa walikuwa wanaleta 💄 wananipaka halafu nalaza lips kwenye barua za wapenzi wao nilikuwa km zoba eeh basi nawashangaa kweli, hadi wa fom foo walikuwa wanakuja niwasaidie,
Inaonekana shule nzima ulikuwa unawatikisa kweli kweli.

Ex boyfriend sijui alikua anajikuta nani
 
Mimi nalala, nimecheka sana leo. Nyie watu mnachekesha nashangaa ugomvi humu unatokeaje na tunacheka hivi.
Kesho panapo uzima, mimi na Kapeace mtupe somo la picha, tufanyaje ili hata mkiquote zifutike.
Mlale unono nawapenda sana 😘
Mtu aki quote picha kama ulifuta Fanya hivi ripoti au mfate mod pm ataifuta au kama unatumia Tapatalk unafuta mazima ni rahisi sana
 
🤣🤣🤣Hausutwi my Wii
Hiyo inaitwa mbwa kala mbwa 🤣 🤣
Mm nilivo ningecheka had wangenileftisha wenyew 🤣🤣
Hiyo inachekesha ingekuwa mi wangenitoa chap ningeshindwa kuvumilia 😂😂😂
Lakini yeye na ushauri anatoa, anakwambia kwenye hiyo id walimuadd km kaka mkubwa mwenye busara zake kumbe ndiye aliyewachefua 😹😹😹😹

Wii kidali poh kalale nacho
 
Kucha, mazoezi ya kutengeneza shape, wengine kubandika nyusi n.k

Kuna wanawake wameamua kunyoa nywele akiamka asubuhi anachana tu nywele...

Kumbe complications kibao.. poleni sana...
Nimeitikia Kwa nguvu Asante🤣🤣
Sie had Dunia iishe tuko hoi siku moja nisindikiza mtu kariakoo nasikia anasema nataka matobo nikaduwaa 🤣🤣🤣 khe kutolewa Tait zenye tobo kwenye makalio kuuliza kazi yake et kunyanyua Tako 🤣🤣🤣

🤣🤣Nilicheka had muuza duka akaanza kucheka na yeye sikuwah kuona kile kitu laivu 🤣🤣
 
Mi si mpenda picha hani wangu utafanya nianze kujifotoa fotoa
Jiphotoe Mamie
Maisha ni hayahaya

Picha ni kumbukumbu.
Kuna siku utarejea na utafurahia kumbukumbu nzuri

Kama sisi tukirejea picha za kipindi Uzi unaanza ,2019 tunafurahi na kukumbuka stori jinsi tunavyofurahi tulikaa kwa upendo kupiga stori hapa.
 
Back
Top Bottom