Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 25,621
- 69,358
Wa mikoani tunajua kuvaa kiheshima sanaNilibeba minguo ya vitenge begi Zima
Mwishowe hata kanisani nikawa nashindwa kuyavaa.
Kuimba na vitenge ni shughuli
Unaweza joto lakuzidia wakosa pumzi
Wa mikoani tunajua kuvaa kiheshima sanaNilibeba minguo ya vitenge begi Zima
Mwishowe hata kanisani nikawa nashindwa kuyavaa.
Kuimba na vitenge ni shughuli
Unaweza joto lakuzidia wakosa pumzi
Tolea ufafanuz usicheke walinde vijana wenzio dhidi ya mashangazi 🤣🤣🤣haha kwanza nicheke kidogo
Mpaka leo hawajui na hilo group nkamu alikuwepo 😂😂😂🤣🤣Walivogundua hawakulia
Hivi huko pm Kuna magroup kabisa ya kusemana mie mbona napwita 🤣🤣
Mwanzo nilikuwa hodar sikuhiz nimechoka Yani 50 k naiona km laki 7 🤣🤣🤣Jaribu za Kikorea, hutojutia. Ni gharama but utaifurahia ngozi yako.
Mi si mpenda picha hani wangu utafanya nianze kujifotoa fotoaMi mwenyewe siwezagi lazima nilambe
Hata mafuta lazima nilambe.
Hebu tuone picha za misuko😍
Tena kichwa chako kimekaa vzr kusuka
Mafundi wa nywele,kichwa Cha kusuka tunakiona tu 🔥🔥
Usiku mwema tajiri huna baya ulale unono inshallah nakuombea upate baraka za kutosha pokea salamu kutoka kigambonino 😎Mimi nalala, nimecheka sana leo. Nyie watu mnachekesha nashangaa ugomvi humu unatokeaje na tunacheka hivi.
Kesho panapo uzima, mimi na Kapeace mtupe somo la picha, tufanyaje ili hata mkiquote zifutike.
Mlale unono nawapenda sana 😘
Nilianza tafuta nguo za vitambaa nzuriWa mikoani tunajua kuvaa kiheshima sana
🤣🤣🤣Hausutwi my WiiMpaka leo hawajui na hilo group nkamu alikuwepo 😂😂😂
Em nikalale nisije kusutwa miyeee
Kucha, mazoezi ya kutengeneza shape, wengine kubandika nyusi n.kUmeonaee wanawake tuna mengi jamani mara ngozi mara nywele mara msuko mara makeup nayo idunde uwe kituko, mara pozi bado mpiga picha asiwe na tekno wereva na ajue kuwa mpiga picha bado uwe mcute, kuwa mrembo ni shughuli tunapitia mengi na magumu
Mama mtumishi 😍Nilianza tafuta nguo za vitambaa nzuri
Magauni
Vitenge mara mojamoja
Nikiwa sina zamu ya kuimbisha.
Ama nikiwa na worship angalau kitenge kinavalika.
😁😂😂😂😂😁Asante na mimi nalala somo la picha wasipotupa haturudi tena humu
Inaonekana shule nzima ulikuwa unawatikisa kweli kweli.Asante ila nakula ndo tatizo, enzi za skuli nikiwa fom 2 c wale mashindikanaa walikuwa wanaleta 💄 wananipaka halafu nalaza lips kwenye barua za wapenzi wao nilikuwa km zoba eeh basi nawashangaa kweli, hadi wa fom foo walikuwa wanakuja niwasaidie,
Mtu aki quote picha kama ulifuta Fanya hivi ripoti au mfate mod pm ataifuta au kama unatumia Tapatalk unafuta mazima ni rahisi sanaMimi nalala, nimecheka sana leo. Nyie watu mnachekesha nashangaa ugomvi humu unatokeaje na tunacheka hivi.
Kesho panapo uzima, mimi na Kapeace mtupe somo la picha, tufanyaje ili hata mkiquote zifutike.
Mlale unono nawapenda sana 😘
Hiyo inachekesha ingekuwa mi wangenitoa chap ningeshindwa kuvumilia 😂😂😂🤣🤣🤣Hausutwi my Wii
Hiyo inaitwa mbwa kala mbwa 🤣 🤣
Mm nilivo ningecheka had wangenileftisha wenyew 🤣🤣
Nimeitikia Kwa nguvu Asante🤣🤣Kucha, mazoezi ya kutengeneza shape, wengine kubandika nyusi n.k
Kuna wanawake wameamua kunyoa nywele akiamka asubuhi anachana tu nywele...
Kumbe complications kibao.. poleni sana...
Jiphotoe MamieMi si mpenda picha hani wangu utafanya nianze kujifotoa fotoa