Selfika na JF: Snap it. Show it

Kama unaona vipi usiolewe!
View attachment 3035612
Mambo ya kuuziwa Mbuzi kwenye gunia hayo ๐Ÿ˜œ

Zamani ilikuwa guitar pamoja na uwanja wa ku-perform vyote vinazinduliwa Siku Moja.

Miaka hii unaweza kukuta hadi audience walishaalikwa ku-perform kwenye huo uwanja miaka kadhaa kabla yako, na walivyo na njaa ya kuwa Michael Jackson utakuwa walitumia mlango wa mbele na ule wa nyuma kuingia uwanjani mara kadhaa๐Ÿค—๐Ÿ˜œ
 
Babu una mikasa mingi ntakuja unisimulie ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
 
Sijawahi kuchagua Pisi mbaya Mjukuu, ndiyo maana hata Bibi yenu ni Pisikali ๐Ÿค—

Huoni hata Wajukuu zangu wote ni PisiKali, ndiyo maana mahari zinazoletwa kwaajili yao sio Chini ya Milioni 5๐Ÿ˜œ๐Ÿ™Œ
Babu huyo bibi hapana hauendani naye coca mchokozi ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ