Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,193
- 33,580
Naomba unisamehe dada yanguππTumoghele MBEYA
ππππ
Hii baridi ni hatari
Haya sasa
Ngoja nisome uziπππ
ππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Naomba unisamehe dada yanguππ
Nilikua nimetulia Ila jana kuna kachoko kakishirikana na shangazi yake wakaanza kunitukana bila sababu. So naomba uniwie radhi maana walivuka mipaka
Dahππππππππππππ
Aiseeee
My country pipoππππ€£π€£
Haya
Za Toka juzi jamaniπππππ
Mje tutembee mjini
Nikikuona napata baridi nakua mnyonge, unisameheππππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Dahππππππππππππ
Kwanza leo umeandika Nini kaka yangu?
Ngoja kwanza nisome πππ
Wizzy niache sijapanga kucheka leo π€£π€£π€£Wapumbavu hawa, naona wanachezea sharubu. Mods wamekuja wameweka sawa nikapotezea, kumbe wameenda kuunga picha alafu walivyo wajinga wakasahau selfika ilifungwa hiyo tarehe
Haka kachoko kalikua kanasema kanavizia demu humu sijui ili iweje, lakini si aanze na huyu shangazi yake mwenye kichaka
πππππNkamu huko ss hivi maji wanakutana nayo kwenye supu na chai πππ
Km dar nasikia baridi huko si ndio balaa unakumbatia jiko.
Nguniani zangu hazijafika nimeandaa kipome kwa mbwembwe zote π€£
DahππππNikikuona napata baridi nakua mnyonge, unisameheππ
Walianza jana from nowhere tu wakanishambulia, wao walikua na tatizo na lamomy, Ila jana nashangaa na mm wameniweka tena kwa kunishambulia sana. Leo naingia nakutana na hizo mambo zao
Kuna kachoko flani hivi sijui kama unakakumbuka kalibadili I'd sasa hivi anajiita 100others, anashirikiana na shangazi yake mwenye kichakaDahππππ
Pole sana
Nani huyo anakuchokoza shemeji yangu?
Umekitwanga vizuri?? ππππππππ
Nakuletea na kipome nkamuπππ
Huku Mbeya kila mtu ana jiko lake sasahivi nyumbani
Mkoleza moto ni mimi,ukifika tu nakukabidhi jiko lakoπππππ
πππππππππππKuna kachoko flani hivi sijui kama unakakumbuka kalibadili I'd sasa hivi anajiita 100others, anashirikiana na shangazi yake mwenye kichaka
Nilisema huku siingii tena na nilifata ushauri wako, ila leo naingia nakuta wananishambulia kinoma
Achana naoKuna kachoko flani hivi sijui kama unakakumbuka kalibadili I'd sasa hivi anajiita 100others, anashirikiana na shangazi yake mwenye kichaka
Nilisema huku siingii tena na nilifata ushauri wako, ila leo naingia nakuta wananishambulia kinoma
Nisamehe sanaππAchana nao
Twende tu siasani ππππ
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Umekitwanga vizuri?? πππ
Hapo na jiko sitting room umenikumbusha Tukuyu, na kikombe chako cha mtindi pembeni unakigusa km hutaki, huku unaivisha hindi πππ
Basi hapo ni kuteta familia ya mzee Mwakalasya na mtoto wao Lusajo kampa mimba binti wa mzee Mwakipesile anayeitwa Atu π€£π€£π€£
Sema una maneno weweπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Nisamehe sanaππ
Nitajitahidi kutokurudia haya