Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] couple ilivurugaa watu ilee hatariii!! Majamaa yanamfata PM awape details zangu!!! Sio wadada wala wazee kuhaha kujua ni kweli tunadate? Woiiiiiih

Boss mwenyewe ananikubalii kinoumaaaa!!!
Na kukunanga uduguu wangu, hawajui mapenzi ya kweli yapo.!!
Achana nao km wako ni wako. Uzuri shem anakupenda na anakuelewa toto la kingoni.
 
🀣🀣🀣🀣 Ujue we mwehu uduguu.!!
Shem akipita hapa atakumind. Ila huyo handsome naye kakuteka
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ujue we mwehu uduguu.!!
Shem akipita hapa atakumind. Ila huyo handsome naye kakuteka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariiiii tupuuu!!! Noumaaa sanaaa!!
 
Jamani kariri skin tone hio, kariri kila kitu kuna maangamizi yanakuja...
Usilete ugomvi na mtu humfahamu, am IT by professionl...
naweza fanya tukio humu hadi TCRA waingilie kati...
Mkuu tupo pamoja, leo haikuwa siku yangu ya kuingia humu ila hakuna namna. Shusha vitu mkuu au subiri kwanza nikatulie bar nishushie na bia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…