Mkuu sina mwili mzuri i was fatπ but diet and exercise ndio zimenifikisha hapa , ila diet haihusishi kutokula kabisa ila kutokula chakula chochote chenye wanga aka sukari, nnakuhakikishia 3 months unaona changes, plus kutembea km 5 kila siku, usipopungua niite tapeliπ