Selfika na JF: Snap it. Show it

Ushavurugika haya kale pilau la idd
 
Leta picha nyingine ya ku download hapa tuburudike kwanza...
Vyote unaongea ni uozo, nimekuambia leta uthibitisho huna..

Kuna siku umetuma picha ya manzi yako ya ku download halafu ulivyo fala eti ukaifuta chap ili kusudi tuone ni real, ila mnyamwezi nika minya reli nikajua tu hapa kazi ipo...

Bro acha ku pretend maisha, mi nakuambia ukweli, we unakuja na story za kutunga...

Acha ku pretend...
 
Walikua watatu ukawakimbiza, wenzie wapo wapi siku hizi? Huyu ndio peke yake kakosa soko
We nawe acha upuuzi wako. Nendeni PM huko mtasababisha uzi ufungwe kwa ajili ya ujinga wenu. Mnatuboa wengine na kutuhusisha kwa mambo yasiyotuhusu. Tumekula biriani tunataka tuweke picha tukiwa na furaha ya sikukuu ya idd alafu nyie mnaleta masuala yenu ya kifala humu.
 
We maamuma. Achana na haya mambo. Umekosa kupiga cha mtume nini leo? Leo ni sikukuu, acheni ujinga wenu.
 
si ndo wee ulikua unapenda battle, sasa Leo kakuvaa wee mwenyewe.

Selfika ina heka heka balaaa, woiiiiiiih
Battle lenyewe halinogi anamix mambo haeleweki sijui kavimbiwa pilau πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Haya best couple ya jf eid njema, sitaki kujibizana na watu wanatuma picha fake za ku download....
Naombeni mniache sasa nataka kuselfika...

Tu chat na picha lakini zisiwe za ku download...
 
Dogo naona umetafuta angle ya picha kujifariji mm na picha wapi na wapi
Ww jikubali ulivyo, wenzio wanajikubali ndio maana wana amani.

Bado hujajibu wale wenzio wapo wapi?
 
Haya best couple ya jf eid njema, sitaki kujibizana na watu wanatuma picha fake za ku download....
Naombeni mniache sasa nataka kuselfika...

Tu chat na picha lakini zisiwe za ku download...
Weka picha yako tukuone kidampa nasubiri hapa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Huwa nina kawaida moja simgusi nisiyemjua. Hivyo naomba niheshimu hiki ulichoandika hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…