Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,193
- 33,580
Nilikuambia nachokijibu nakijua, na wala hili sidhani kama lina mjadalaWapi umehusishwa?? Halafu hiyo ya upweke umeikomalia!! Lini niliomba faraja yako? Hebu acha kujipa umuhimu kwenye maisha yangu.
Kwahiyo tulikutana wote wapweke tukafarijiana? Sasa mbona ww unajitoa? Unanipa zigo la upweke peke yangu??Nilikuambia nachokijibu nakijua, na wala hili sidhani kama lina mjadala
Kuhusu faraja, hata mm niliikosa na kuipata kwako hivyo hivyo na ww wala haihitaji kukanusha na kutafuta ushahidi kwenye hili ikiwa ukweli unajua. Na sio dhambi, binadamu wote hupitia hiyo hali kwa kipindi flani, kukataa ni kujaribu kuuficha mnazi ndani ya nyumba
Jibu ni ndiyo, na wala sio dhambi. Sijajitoa ila nilikueleza huko kwa kukutolea mfano kijana akiwa mvuta bangi sio jambo zuri lakini haishangazi, Ila binti akiwa mvuta bangi inashangaza sanaKwahiyo tulikutana wote wapweke tukafarijiana? Sasa mbona ww unajitoa? Unanipa zigo la upweke peke yangu??
Basi sawa niache nitafute wa kunitoa upweke usinizidishie upweke.!!
Kwahiyo mimi mvuta mpepe? 😂😂Jibu ni ndiyo, na wala sio dhambi. Sijajitoa ila nilikueleza huko kwa kukutolea mfano kijana akiwa mvuta bangi sio jambo zuri lakini haishangazi, Ila binti akiwa mvuta bangi inashangaza sana
Naamini umenielewa no offense, case closedKwahiyo mimi mvuta mpepe? 😂😂
Ujue hii mifano yako watu watanichukulia nakula ndumu kweli humu.!! Unataka nikose wa kunitoa upweke ajue mimi kibaka!!
Rekebisha kwanza huo mfano wako, iweke kivingine sio habari za mifano ya bangi plsNaamini umenielewa no offense, case closed
Good day
Kwani bado hujapata Likizo tu uje utusalimie? Mimi na Bibi yako tumekukumbuka sana 🤗Sijambo babu!
Babu unapiga mikato kuliko vijana, muda wote uko smart..!! Uwe unawapa darasa hawa wajukuu zako wa kiume jinsi ya kuishi kwenye misingi ya kiume pamoja na kuwa wasafi.!!
Salute kibabu cha JF
Babu nitakuja kuwasalimia usijali, mwambie bibi aniandalie kuku.Kwani bado hujapata Likizo tu uje utusalimie? Mimi na Bibi yako tumekukumbuka sana 🤗
Kuhusu Vijana imekuwa vigumu kuwapa mafunzo as muda mwingi tangu Wanazaliwa wamekuwa wakiishi Shuleni tangu wakiwa Chekechea hadi wanamaliza Vyuo Vikuu 🙌
Hata hivyo tunafanya jitihada kuwaandikia vitabu ili wabaki wakijifunza hata wakiwa huko huko Mjini 🤗😅
We babu wa mchongoHujambo Mjukuu 😜?
You are real missed 🤗
Elimu huwa inarithishwa, miaka ya zamani kabla ya Elimu ya darasani ilikuwa Kama Baba atakuwa Mvuvi kule Kanda ya Ziwa, basi atahakikisha anamfundisha Kijana wake wa kiume kuvuaBabu nitakuja kuwasalimia usijali, mwambie bibi aniandalie kuku.
Ila nimecheka babu hapo mnaandaa vitabu muwatumie huko huko wavisome 😂😂😂😂
Babu utakuwa kuna kitu unakunywa pembeni wewe!!
Babu yako nimezeeka kweli ujue🤗We babu wa mchongo
Huu ubabu wako sijaukubali mpaka na kesho
Fanyeni haraka wapate hivo vitabu babu maadili yanamong’onyoka.!!Elimu huwa inarithishwa, miaka ya zamani kabla ya Elimu ya darasani ilikuwa Kama Baba atakuwa Mvuvi kule Kanda ya Ziwa, basi atahakikisha anamfundisha Kijana wake wa kiume kuvua
Hivyo kama Wazee tumeona vyema kuwasaidia Vijana wetu wa Mjini kupatia Elimu Kwa kuwatumia Vitabu huko huko Mjini wajifunze 🤗
Bibi yako amesema ukija atakuchinjia yule Jogoo Mkubwa mwenye madoa doa 🤗
Kuhusu zawadi nyingine, Babu yako nimepanga kukupa kama surprise utakapokuja🤗
Usijali Mjukuu, kama Wazee tutajitahidi kutoa Elimu Kila Siku 😜Fanyeni haraka wapate hivo vitabu babu maadili yanamong’onyoka.!!
Bibi huyo jogoo ahakikishe kakolea ndimu 😂😂😂
Na zawadi zangu zingine hizo 😋😋
Babu mi napenda vitu vya kijinga km zawadi ujue 😜Usijali Mjukuu, kama Wazee tutajitahidi kutoa Elimu Kila Siku 😜
Usitake nikung'ate sikio kukwambia zawadi nilizokuandalia ila jua zipo nyingi kwaajili yako🤗