Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimekuambia kuna wenye uhitaji na figo, moyo n.k kwa sababu utakufa tu..
 
Wohiiiiii Max atuwekee sehemu ya voice kuna taste tunaikosa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Yani nimecheeeekaaa mpk mbwa wameanza kubweka khaaaaaa!!!
 
Wohiiiiii Max atuwekee sehemu ya voice kuna taste tunaikosa

Yani nimecheeeekaaa mpk mbwa wameanza kubweka khaaaaaa!!!
uduguuu, ba tamu had anauliza "umeanza kuchizika huko room?"

Nlikua naadika huku napayuka kwa kucheka,
 
Mrembo ndo mie hapa, huyu alikuwepo toka mda, hukuzungumza nae na hukuwepo, ila mie kuingia humu nawe huyoo umezamia

Unaniona kwenye glass ya maji au juice?
Nimekuta umeni quote bro..
Ila bro unazingua sana.. we si una ndevu kabisa tena hadi mapele kwenye kidevu, hata kama ni ugum wa maisha umezingua sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ