Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi nimeweka yangu ninayoijua na yy akuwekee yake anayoijua tatizo hakuna hapo?? 🀣🀣🀣
Na yake nayo akuwekee. Ila tuachane nazo hizi mambo bana zitafanya tutolewe tena selfika
Nani anatoa watu🀣🀣🀣naonaga tu mnatishana sijui bannology
 
apa sasa nimejua kwanin unalazmisha kutuma pichaπŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚ unataka kunilinganisha na huyo sjui nani maskin mweeee ila poleni sana
Ww kutuma picha sio muhimu, kwanza unaweza kutuma picha sio yako ntajuaje?? Humu wengine wanaume ila wana id za wadada na wanatuma picha sio zao!! Ulimwengu wa fake ids unaanzaje kuwa real?? Hayo ni mambo ya watu wasiojielewa ndio hutuma picha zao halisi.!!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ asante kwa ushaur na elimu ya jf
 
Nani anatoa watu🀣🀣🀣naonaga tu mnatishana sijui bannology
Mods wakiona mnaanza hekaheka mnapewa ban, hafu mimi nimetawazwa balozi wa amani selfika, subirini nichukue mshahara wangu wa kwanza ndio mniletee hekaheka zenu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…