Ntafanya ujinga wote sio kusogeza pua yangu Kwa watu wanaoshare shuka, usiku wa manane wanaamka wanajadili mambo yao wanablesiana wanaomba Mungu wanalala
Mimi nimeweka yangu ninayoijua na yy akuwekee yake anayoijua tatizo hakuna hapo?? π€£π€£π€£
Na yake nayo akuwekee. Ila tuachane nazo hizi mambo bana zitafanya tutolewe tena selfika