Uache uongo, ulikua umeblock msg zote hakuna zilizokua zinatoka
Ww hiyo tabia yako unaipenda?
Anyway ngoja nipotezee hili Ila acha kupiga mikwara ya namna ile kwa kutumia msg za kawaida itakuja kukugharimu, mm ni binadamu kesho inaweza kutokea nisiamke nikafa, ww ndio utawajibika. Usifanye Hilo kosa la kutoa vitisho kwenye msg