Selfika na JF: Snap it. Show it

Tukiwa live sawa ila kwa hz fake ID ambazo lamomy mwenye kitambi anachukua picha ya rafiki yake wa saloon anaupload humu....apana Kwa kwel
🀣🀣🀣🀣 uwiiiii!! Hebu mlete akiwa full huyo rafiki yangu.!! Ndo walivyokudanganya huko pm wanakojadili watu?? Sijawahi kuwa na rafiki wa saloon. Circle yangu wote wakulima mahi..!!
 
Akili kubwaz Mahondawaaaaazzzz gademu kisu u know πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
Alaiki futiboli yu no. Loko ligi na za mambele piaahhh😁😁!
Kizungu nilifeliiigii aseeee!


So ndio umedinda kunibless nitulize kikojoleo changu anga??πŸ€¨πŸ€¨πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ’€πŸ’€πŸ’€πŸ’€πŸ’€
 
🀣🀣🀣🀣 uwiiiii!! Hebu mlete akiwa full huyo rafiki yangu.!! Ndo walivyokudanganya huko pm wanakojadili watu?? Sijawahi kuwa na rafiki wa saloon. Circle yangu wote wakulima mahi..!!
Maskini ya Mungu PM? PM yangu ipo very purposive hua siendi pm ya mtu ovyo ovyo
 
Alaiki futiboli yu no. Loko ligi na za mambele piaahhh😁😁!
Kizungu nilifeliiigii aseeee!


So ndio umedinda kunibless nitulize kikojoleo changu anga??πŸ€¨πŸ€¨πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ’€πŸ’€πŸ’€πŸ’€πŸ’€
Kikojoleo ☺️ aaaaaaaaaah maamaaaa#%@ke nitakituliza tu Mahondaw muda si mrefu wee tulia πŸ˜†
 
Nikublock kwa kipi?? Nimekupigia kukuonyesha siwezi kuku block na sio mdhaifu km unavyojinadi hapa.!! Sema nimeamua kukupuuza. Unionee huruma? Kuna sehemu nimehitaji huruma yako??
sikuhitaji kuongea kwenye simu nilipo siiwezi kupokea simu. na Hakuna msg inaenda ya kawaida wala Whatsapp labda Kama umeachia sasa hivi
Alafu msg uliyonitumia nimekuelewa sana, now I rest my case, Ila uachage ujinga.
Good day
 
Kikojoleo ☺️ aaaaaaaaaah maamaaaa#%@ke nitakituliza tu Mahondaw muda si mrefu wee tulia πŸ˜†
Ushalewa hapoo.Pepo trokkkaaaaaaah! Hiki kinatulizwa na Smart tu uweeeehhh!

Naona ufunguzi unaendelea kam kauwaaaaa

Leo Timu Germany πŸ•ΊπŸ•ΊπŸ•ΊπŸ•ΊπŸ•Ί
 

Attachments

  • IMG_20240614_214625_047~2.jpg
    1.4 MB · Views: 2
  • IMG_20240614_214611_265~2.jpg
    804.5 KB · Views: 2
  • IMG_20240614_214601_457~2.jpg
    1.3 MB · Views: 2
sikuhitaji kuongea kwenye simu nilipo siiwezi kupokea simu. na Hakuna msg inaenda ya kawaida wala Whatsapp labda Kama umeachia sasa hivi
Alafu msg uliyonitumia nimekuelewa sana, now I rest my case, Ila uachage ujinga.
Good day
Mangi una hekaheka πŸ™ŒπŸ™Œ
WhatsApp yangu iko busy kuna vitu nafanyia marekebisho, na hizo msg za kawaida labda mtandao.
Hii tabia yako ya toka jana na leo sijaipenda kabisaa.!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…