Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 9,871
- 32,692
Yaani mimi mbona sasa nimekoma kusaidia watu ππππ sasa kajiharibia, kila uzi wake wanamfutia. Aende tu kwa mbunge wake au akaombe kwwnye media tena.Kantibua mpk nilitamani Max angeweka sehemu ya voice note nimcharure..!! Katupotezea muda wetu kumuombea msaada kumbe sio muaminifu.
Sasa alivyokuwa anasema rafiki yake kumbe ni yy mwenyewe?? Nimemwambia had hapo husaidiki ngβo
Nitakuchapa sasa hivi ππππ si huwa tunanagwa wote humu ππππππ sikuwa najua. But toka nimejua nikaacha kuweka pic, japo najua watu wanasave.Halafu hujanimalizia story nawe dada ile ya kunangwa picha zetu ππππ
Bora tujadili haya kuliko waomba misaada ni matapeli tu.
Weeeh em ningβate sikio basi πππyupo yani nmemuandika kwenye karatasi namkanyaga kila siku nimmiliki lakin wapiπππ
Na waufute sema visirani niliowatag walikuwa bado hawajaingia sijui ingekuwaje leo?? ππππYaani mimi mbona sasa nimekoma kusaidia watu ππππ sasa kajiharibia, kila uzi wake wanamfutia. Aende tu kwa mbunge wake au akaombe kwwnye media tena.
Siku zote huruma huwa inaponza, sema mtu ukiwa na huruma hukomi,hujifunzi. Kuna uzi wa kutaja waganga wa kienyeji ππππ hujawahi kwenda kuroga upate mume? π€£π€£π€£π€£π€£π€£Na waufute sema visirani niliowatag walikuwa bado hawajaingia sijui ingekuwaje leo?? ππππ
Ningeambiwa na mimi tapeli nawaita wakatapeliwe, ningesuuzwa bila sabuni π€£π€£π€£
Bora na wewe unangwe uone true colors za watu ππππNitakuchapa sasa hivi ππππ si huwa tunanagwa wote humu ππππππ sikuwa najua. But toka nimejua nikaacha kuweka pic, japo najua watu wanasave.
Uko wapi huo uzi?? Tatizo hao waoaji ndio wajua vilinge vya waganga, utamrogaje kwa mfano?? Badala ya kumroga yy akupende, unaanza kumpenda wewe π€£π€£π€£π€£Siku zote huruma huwa inaponza, sema mtu ukiwa na huruma hukomi,hujifunzi. Kuna uzi wa kutaja waganga wa kienyeji ππππ hujawahi kwenda kuroga upate mume? π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Mpishi mkuu hatari sana. Jamani jamani hii dunia acha tu.Bora na wewe unangwe uone true colors za watu ππππ
Huko pm kuna mi story mingi ya kutungiwa, acha tyuuu.!! Hafu mpishi ni mmoja anasambaza hizo mbanga.
Nilijua tyuu atakufikia ni suala la muda ππππMpishi mkuu hatari sana. Jamani jamani hii dunia acha tu.
Umechelewa kujua π π π π πNilijua tyuu atakufikia ni suala la muda ππππ
Mpishi ana viungo vyote kuanzia vya chai mpk mlo wa usiku. Ushindwe wewe tyuu!! π€£π€£π€£
Nilichelewa sana!! Mpaka nyoka nacheza naye ππππUmechelewa kujua π π π π π
Mahari ipo standby yy tuNasubiria wifi hiyo pic πππ
Naona kaka yangu mwingine Mpaji Mungu anakulia mingo
we ungeweza πππWeeeh em ningβate sikio basi πππ
Mm wa kaskazini bn sema npo na watu wa huko mastory kibao ndo waliniandikia hicho kikwenuπππ Hata usitumie nguvu kubwa.
Wala sio vibaya kuzaliwa huko, hakuna anayejichagulia kabila la kuzaliwa.
Mimi mbona kabila langu tunapondwa wachawi na tunatoa makafara ila hunikuti najikataa?!! Tena ndo niko so proudly nalo
acheni kumnanga kaboy wangu π€£π€£π€£π€£ nmemwambia asipontumia laki leo nambwaga shenz type πππ@Lomamy yule dogo wa kuomba msaada wa ada nimekuachia π€£π€£π€£π€£π€£π€£ kanishinda tabia. Why aliona aibu kujisema kuwa niyeye eti rafiki yake. Kwenye shida huwa kuna aibu kweli? Ngachoka, haoni wenzake wanafata watu kuwaomba hela PM. Atupishe...
ππππππMm wa kaskazini bn sema npo na watu wa huko mastory kibao ndo waliniandikia hicho kikwenu
we mpangwa niniπ€£π€£π€£πππ Hata usitumie nguvu kubwa.
Wala sio vibaya kuzaliwa huko, hakuna anayejichagulia kabila la kuzaliwa.
Mimi mbona kabila langu tunapondwa wachawi na tunatoa makafara ila hunikuti najikataa?!! Tena ndo niko so proudly nalo
Mbn unacheka mtoto mzuriππππππ
vile unaruka kamba kwanguvu ivoMbn unacheka mtoto mzuri