Selfika na JF: Snap it. Show it

sina tako la kufanya kijora kibinukeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Lipo bana wifi utakimodoa kwenye ngongingo ili kibinuke πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Weka picha ili nikupe muongozo pa kurekebisha
 
Lipo bana wifi utakimodoa kwenye ngongingo ili kibinuke πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Weka picha ili nikupe muongozo pa kurekebisha
tumia picha ya jana,,πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
nakwambia kumbe huku ni wengi ila wameuchuna tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚vile tu id fake uskute tushawah onana
Wakifika mjini wanakataa makabila yao πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nawaza namna ya kukuelewesha bila kuonekana najitetea....ila mm sio wa huko
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Hata usitumie nguvu kubwa.
Wala sio vibaya kuzaliwa huko, hakuna anayejichagulia kabila la kuzaliwa.
Mimi mbona kabila langu tunapondwa wachawi na tunatoa makafara ila hunikuti najikataa?!! Tena ndo niko so proudly nalo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…