Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakuambiaa, nawashwaa hatarii kuanza vuruguu.
Sitakagi amani, hata mparee wangu anajua.
Mwenzio nimetoka kushushuliwa sina hamu hapa, na nna ubalozi wa amani sijui nafanyaje?? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakuambiaa, nawashwaa hatarii kuanza vuruguu.
Sitakagi amani, hata mparee wangu anajua.
Na mwamba alivyo mnene kama Mimi jumlisha hekaheka zako atabaki kuniπŸ˜€
 
Moderators!!!!

Huu uzi ulipoa km kojo LA hanithii, yaan haukua na uchangamfu, ila leo kutuachia huru mie na udugu wangu, li uzi limefufuka km nsyuka toleo jipyaaa.

Yaan linatatalika utadhani mtu anaoga nje, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtupe maua yetuu, Selfika ina wenyewee, na wenyewe ndo sie.

Naona leo hapo JF HQ mnautazama huu uzi ukiwa wa [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]

Lazima niwachaneee makavuu, Selfika inabebwaa na heka heka.
Na wenye heka heka ndo sie, afu hatulazimishii tunazimuduuu.

Wachachuajiiii km wachachuajiii tuko winjaaaaa winjaaaaaa!!!!
Kaeni kwa kutuliaaa, mtazamee manjegekaaa yanavyonjegeshwaaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwenzio nimetoka kushushuliwa sina hamu hapa, na nna ubalozi wa amani sijui nafanyaje?? [emoji23][emoji23][emoji23]
Umetoka kushushuliwa wapiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…