ephen_ JF-Expert Member Joined Oct 28, 2022 Posts 16,787 Reaction score 61,262 Jun 13, 2024 #383,101 Grahams said: View attachment 3016522 Picha ya Mwaka 47 hiyo, maana Wajukuu hawachelewi kuanza kuwabishia Wazee wao hapa π Click to expand... Babu korosho robo zote umemaliza peke yako! Bibi ajiandae leoπ€Έ
Grahams said: View attachment 3016522 Picha ya Mwaka 47 hiyo, maana Wajukuu hawachelewi kuanza kuwabishia Wazee wao hapa π Click to expand... Babu korosho robo zote umemaliza peke yako! Bibi ajiandae leoπ€Έ
Lamomy JF-Expert Member Joined Sep 4, 2023 Posts 36,276 Reaction score 87,099 Jun 13, 2024 #383,102 Grahams said: View attachment 3016522 Picha ya Mwaka 47 hiyo, maana Wajukuu hawachelewi kuanza kuwabishia Wazee wao hapa π Click to expand... πππ babu hizo korosho au karanga? Babu hutaki masihara na hali ya hewa, unajikoki πππ
Grahams said: View attachment 3016522 Picha ya Mwaka 47 hiyo, maana Wajukuu hawachelewi kuanza kuwabishia Wazee wao hapa π Click to expand... πππ babu hizo korosho au karanga? Babu hutaki masihara na hali ya hewa, unajikoki πππ
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,707 Jun 13, 2024 #383,103 ephen_ said: Babu korosho robo zote umemaliza peke yako! Bibi ajiandae leoπ€Έ Click to expand... Sikuwahi kujua kama Mjukuu umekuwa mkorofi kiasi hicho π π€ Zingatia ni picha ya Mwaka 47 hiyo π
ephen_ said: Babu korosho robo zote umemaliza peke yako! Bibi ajiandae leoπ€Έ Click to expand... Sikuwahi kujua kama Mjukuu umekuwa mkorofi kiasi hicho π π€ Zingatia ni picha ya Mwaka 47 hiyo π
Jack Palladino JF-Expert Member Joined Feb 24, 2018 Posts 7,245 Reaction score 22,552 Jun 13, 2024 #383,104 Lamomy said: πππ basi ngoja nikupe hi na moja ya ss hivi Click to expand... Inatosha delete tu babe utasumbuliwa sana PMπ
Lamomy said: πππ basi ngoja nikupe hi na moja ya ss hivi Click to expand... Inatosha delete tu babe utasumbuliwa sana PMπ
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,707 Jun 13, 2024 #383,105 Lamomy said: πππ babu hizo korosho au karanga? Babu hutaki masihara na hali ya hewa, unajikoki πππ Click to expand... Ni korosho Mjukuu, Babu yenu nimekuwa Mpenzi wa kula Korosho π€ Hii hali ya hewa inawafaa nyie Vijana tu, sisi Wazee tumeshazeeka π
Lamomy said: πππ babu hizo korosho au karanga? Babu hutaki masihara na hali ya hewa, unajikoki πππ Click to expand... Ni korosho Mjukuu, Babu yenu nimekuwa Mpenzi wa kula Korosho π€ Hii hali ya hewa inawafaa nyie Vijana tu, sisi Wazee tumeshazeeka π
Lamomy JF-Expert Member Joined Sep 4, 2023 Posts 36,276 Reaction score 87,099 Jun 13, 2024 #383,106 Jack Palladino said: Inatosha delete tu babe utasumbuliwa sana PMπ Click to expand... ππππ Wanaanzaje kunisumbua kibibi??
Jack Palladino said: Inatosha delete tu babe utasumbuliwa sana PMπ Click to expand... ππππ Wanaanzaje kunisumbua kibibi??
Ms R JF-Expert Member Joined Jan 19, 2023 Posts 10,547 Reaction score 22,982 Jun 13, 2024 #383,107 Lamomy & Poor Brain nione picha zenu kama kwel mnafanana
Jack Palladino JF-Expert Member Joined Feb 24, 2018 Posts 7,245 Reaction score 22,552 Jun 13, 2024 #383,108 Lamomy said: ππππ Wanaanzaje kunisumbua kibibi?? Click to expand... Mtoto mbichi kabisa aaahπ
Lamomy said: ππππ Wanaanzaje kunisumbua kibibi?? Click to expand... Mtoto mbichi kabisa aaahπ
Lamomy JF-Expert Member Joined Sep 4, 2023 Posts 36,276 Reaction score 87,099 Jun 13, 2024 #383,109 Grahams said: Ni korosho Mjukuu, Babu yenu nimekuwa Mpenzi wa kula Korosho π€ Hii hali ya hewa inawafaa nyie Vijana tu, sisi Wazee tumeshazeeka π Click to expand... Utamfumua bibi mshono sasa ππππ Fuko lote hilo utatuumizia bibi yetu
Grahams said: Ni korosho Mjukuu, Babu yenu nimekuwa Mpenzi wa kula Korosho π€ Hii hali ya hewa inawafaa nyie Vijana tu, sisi Wazee tumeshazeeka π Click to expand... Utamfumua bibi mshono sasa ππππ Fuko lote hilo utatuumizia bibi yetu
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,707 Jun 13, 2024 #383,110 Jack Palladino said: Inatosha delete tu babe utasumbuliwa sana PMπ Click to expand... Nadhani hakuna aliyeiona zaidi yako, maana Mimi wakati nahangaika kutafuta miwani yangu ya macho ili nione yaliyomo nakuta ishafutwa ππ
Jack Palladino said: Inatosha delete tu babe utasumbuliwa sana PMπ Click to expand... Nadhani hakuna aliyeiona zaidi yako, maana Mimi wakati nahangaika kutafuta miwani yangu ya macho ili nione yaliyomo nakuta ishafutwa ππ
Jack Palladino JF-Expert Member Joined Feb 24, 2018 Posts 7,245 Reaction score 22,552 Jun 13, 2024 #383,111 Grahams said: Nadhani hakuna aliyeiona zaidi yako, maana Mimi wakati nahangaika kutafuta miwani yangu ya macho ili nione yaliyomo nakuta ishafutwa ππ Click to expand... Hapo sawaπ
Grahams said: Nadhani hakuna aliyeiona zaidi yako, maana Mimi wakati nahangaika kutafuta miwani yangu ya macho ili nione yaliyomo nakuta ishafutwa ππ Click to expand... Hapo sawaπ
Lamomy JF-Expert Member Joined Sep 4, 2023 Posts 36,276 Reaction score 87,099 Jun 13, 2024 #383,112 Ms R said: Lamomy & Poor Brain nione picha zenu kama kwel mnafanana Click to expand... Umechelewa wifi nimefuta ss hivi, em anza kushusha yako hapa nione toto ulivyo msupuu πππ
Ms R said: Lamomy & Poor Brain nione picha zenu kama kwel mnafanana Click to expand... Umechelewa wifi nimefuta ss hivi, em anza kushusha yako hapa nione toto ulivyo msupuu πππ
Lamomy JF-Expert Member Joined Sep 4, 2023 Posts 36,276 Reaction score 87,099 Jun 13, 2024 #383,113 Jack Palladino said: Mtoto mbichi kabisa aaahπ Click to expand... Kumbe eeeh!! π₯°π₯°π₯°
Lamomy JF-Expert Member Joined Sep 4, 2023 Posts 36,276 Reaction score 87,099 Jun 13, 2024 #383,114 Grahams said: Nadhani hakuna aliyeiona zaidi yako, maana Mimi wakati nahangaika kutafuta miwani yangu ya macho ili nione yaliyomo nakuta ishafutwa ππ Click to expand... Babu muongo πππ
Grahams said: Nadhani hakuna aliyeiona zaidi yako, maana Mimi wakati nahangaika kutafuta miwani yangu ya macho ili nione yaliyomo nakuta ishafutwa ππ Click to expand... Babu muongo πππ
Jack Palladino JF-Expert Member Joined Feb 24, 2018 Posts 7,245 Reaction score 22,552 Jun 13, 2024 #383,115 Lamomy said: Kumbe eeeh!! π₯°π₯°π₯° Click to expand... Ni Bunyokwa eeh nipo njiani
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,707 Jun 13, 2024 #383,116 Lamomy said: Utamfumua bibi mshono sasa ππππ Fuko lote hilo utatuumizia bibi yetu Click to expand... Na umri huu naanzia wapi Mzee wenu π Hiyo picha ilikuwa enzi zile nikiwa Kijana π
Lamomy said: Utamfumua bibi mshono sasa ππππ Fuko lote hilo utatuumizia bibi yetu Click to expand... Na umri huu naanzia wapi Mzee wenu π Hiyo picha ilikuwa enzi zile nikiwa Kijana π
Lamomy JF-Expert Member Joined Sep 4, 2023 Posts 36,276 Reaction score 87,099 Jun 13, 2024 #383,117 Jack Palladino said: Ni Bunyokwa eeh nipo njiani Click to expand... π€£π€£π€£ Babe utaharibu lile G wagon lako kuna makorongo mengi huku
Jack Palladino said: Ni Bunyokwa eeh nipo njiani Click to expand... π€£π€£π€£ Babe utaharibu lile G wagon lako kuna makorongo mengi huku
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,707 Jun 13, 2024 #383,118 Jack Palladino said: Hapo sawaπ Click to expand... Bahati miwani yangu ilikuwa mbali, ingekuwa jirani ningeona ile rangi ya Dubai π
Jack Palladino said: Hapo sawaπ Click to expand... Bahati miwani yangu ilikuwa mbali, ingekuwa jirani ningeona ile rangi ya Dubai π
Jack Palladino JF-Expert Member Joined Feb 24, 2018 Posts 7,245 Reaction score 22,552 Jun 13, 2024 #383,119 Lamomy said: π€£π€£π€£ Babe utaharibu lile G wagon lako kuna makorongo mengi huku Click to expand... Ile ndio njia zake hizo...ipo vizuri kwenye rough roadπ
Lamomy said: π€£π€£π€£ Babe utaharibu lile G wagon lako kuna makorongo mengi huku Click to expand... Ile ndio njia zake hizo...ipo vizuri kwenye rough roadπ
Jack Palladino JF-Expert Member Joined Feb 24, 2018 Posts 7,245 Reaction score 22,552 Jun 13, 2024 #383,120 Grahams said: Bahati miwani yangu ilikuwa mbali, ingekuwa jirani ningeona ile rangi ya Dubai π Click to expand... Mtoto kama muarabu daah
Grahams said: Bahati miwani yangu ilikuwa mbali, ingekuwa jirani ningeona ile rangi ya Dubai π Click to expand... Mtoto kama muarabu daah