Kwa umri wako better not involve in such kinda of things babu utakufa siku si zako!Aliyesema Wazee hatuna wivu nani๐
Siku ukija kututembelea Likizo, nitakusimulia kisa Fulani na Bibi yenu Mwaka 1982, yaani bila kuchomwa zile sindano za kuniamsha mbona Presha ilitaka kuniua Kwa Wivu ๐
Hongereni kutuletea movie Kali Mjini ๐คTupo hapa kijijini Kawetere
Tunashuti tamthiliya Kali ya Bunji๐๐๐๐
Karibu
Kwahiyo sitakiwi kuwa na wivu Mjukuu?Kwa umri wako better not involve in such kinda of things babu utakufa siku si zako!
Usiseme sijakushauri
Mi nishakwambia unitoe kwny wajukuu zako huna huo umri wa mimi kuwa mjukuu...labda uniite dada ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ...Babu yenu nimekuwa mwoga sana wa sindano, bora mnipe dawa tani 30 nimeze kuliko sindano 5๐
Pamoja na Uzee wote huu nilionao huamini Mjukuu ๐ค?Mi nishakwambia unitoe kwny wajukuu zako huna huo umri wa mimi kuwa mjukuu...labda uniite dada ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ...
Alayna upo Tanzania hii kweli embu selfika basi nipate faraja ya moyo wangu
Ww ni mtu seriously sana ujue ๐ค๐คAnaonekana hajaacha haha at least anatufanya tutanue mapafu kwa kicheko!
Karibu tena selfika dear usipotee bila kutubles walai!
Wee comedian mchumbako Alayna kaja kukufuata hukuu๐ฃ๏ธ๐ฃ๏ธ๐
aisee kumbe we ni mzee!!, Nita wasema. Wapunguze.Mwambie Mkwe apunguze mafuta kwenye rosti anazokupikia...
Hapo huchelewi kuanza kutoka Kitambi cha kufutia simu kama Babu zenu hapa ๐๐
Sawa mkuuHapana mkuu
Yajayo yanafurahisha
Yepi hayo !Yajayo yanafurahisha
Unayokutana nayo kwenye utalii wa fukweYepi hayo !
Ndiyo Mkuu, nimekula chumvi nyingi Mzee wenu ๐คaisee kumbe we ni mzee!!, Nita wasema. Wapunguze.
Mwakemwake anatosha๐Hongereni kutuletea movie Kali Mjini ๐ค
Hivi hakuna nafasi ya Mzee kuigiza? Nipeni hiyo nafasi tafadhali ๐ค
Kesho nitakuja kuwaunga Mkono Kwa kuwaletea walau Maji ya kunywa mkiwa hapo location ๐