Selfika na JF: Snap it. Show it

Mzee hio 1982 hizo message mlikuwa mnatumiana kwa kifaa kipi?
Nakumbuka kulikuwa na zile rotary phones, unazungusha na kidole.

Mama yangu alinisimulia, Hizo alphabet zilikuwa zinatumika kam number, kuna baadhi ya number zilianza na alphabet, hivyo alphabets haikuwa kwa ajili ya kutuma sms kwa sababu hata screen haikuwa nayo hio simu ya rotary.

Number "0" ulikuwa unawapigia operators for assistance, ni kama customer care sasa hivi, ndio maana unaona imeandikwa operator hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…