Selfika na JF: Snap it. Show it

Alishafanya refresh course..simba wamuamini wampe timu
Nakubaliana na maoni yako, ni muda mwafaka Kocha mzawa Juma Mgunda Pep Mnene apewe timu hata Kwa msimu mmoja aoneshe uwezo wake.

Tumechoka kulipa mishahara ya milioni 30 Kwa Mwezi Kwa makocha wa nje ambao kiuhalisia wanazidiwa mbinu na uwezo na Juma Mgunda
 
Ni sahihi, huyu Mzee apewe timu Moja Kwa Moja hata Kwa Msimu mmoja tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…