raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,860
- 36,955
Ebhanaeeeee duh π₯π₯π₯π₯
π€£π€£π€£Wazee wa humu hamchelewi kuchomoa betri muda wote
Mudawote mko battery low ππ
NdiyooWakuu na sisi wageni tuna ruhusiwa ?
Sikuamini πππNilisuka mara moja tu nilikuwa na event fulani hivi. Hapa nina short hairπ
Haya weye wakalia wapi Kule Pemba? Wakalia Dole au wakalia Miembeni?Mimi mpembaa
Asante Sana ngoja nami niweke kapicha.Ndiyoo
Yaan acha na hiz El NinoππNa venye lina masaji masaji kimtindo lazima azitoe π€£
Nimeona leo ka kitu kazuri ngoja nikufowadie
Wallahπ€£.Sikuamini πππ
πππHawana vifuaπ€£π€£π€£
Umetulia mwenyew
Siku nikijua kucheza PS sijui kama nitakuwa natoka nje π€£π€£
Friji hazina compressor π€£π€£πππHawana vifua
hahaha, pad ya 2 hiyoo. Ps ni nzuri mnooSiku nikijua kucheza PS sijui kama nitakuwa natoka nje π€£π€£
naamUmetulia mwenyew
Muambie Binti macho airudie basi.Body kinanda.
Endelea kula mpk tuone tumbo
Umeacha tena kusuka? ππ usije sahv kuniomba ushauri
hazigqndishi hata Yani πππFriji hazina compressor π€£π€£
selfika wewe ndio nimuiteMuambie Binti macho airudie basi.