Babuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji2772][emoji2772][emoji2772]Nimewahi kupita kwenye hayo mabanda ya CCM mara mbili hivi kupata yale mambo yetu
Sijui wanatumia viungo gani kuchanganya, maana inakuwa laini kufanya hadi Wazee tuweze kutafuna hadi mifupa [emoji847]
Hujambo Mjukuu?🤗Babuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji2772][emoji2772][emoji2772]
Muambie nashukuru nitakuja weekend. Unaendeleaje?Hujambo Mjukuu?🤗
Kwa wiki mbili sasa Bibi yako amekuwa akikuulizia, fanya uje kumtembelea ukipata likizo na Mkwe wetu 🤗
Ulisema hujala magimbi una muda mrefu, nimeona amekuandalia mengi hadi ushindwe 😜
We are doing real good here, japo nahisi Ulimi unaniwasha Kwa kumisi kuvuta Kiko yangu 🤗😜Muambie nashukuru nitakuja weekend. Unaendeleaje?
Mimi sijambo shkamoo babu 😸😸
Jamanu umenenepa..hebu tupia kasura jamani ww mtani
Mbona sisi wanawake hapo vyote vinakua under control including muuliza swali...Najigawa vipi..?
View attachment 2975578
AsanteOooh tisha sana
Wa mjini Daslama wakaribieUmeona eeh na wewe atupe location!utasikia Dodoma🙄
🤣🤣🤣🤣Au sio?na Shabiby au na usafiri Gani?Hahahahaha..Dodoma tunaenda
Hahahahaha..shabiby tutachelewa..tunaenda na sgr au njiwa wa anko🤣🤣🤣🤣Au sio?na Shabiby au na usafiri Gani?
Kwa Dodoma Shabiby hana mpinzani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Au sio?na Shabiby au na usafiri Gani?
Kwani sgr haijaanza kazi ?Kwa Dodoma Shabiby hana mpinzani
Apande gari pendwa Shabiby line
Mwezi ujao sijui🤔🤔nauli ni sabini elfu Hela..Kwani sgr haijaanza kazi ?
Nyie bwana mmekariri,Mimi nitapanda Scania Katarama ya rockcity itanidrop hapo😁Kwa Dodoma Shabiby hana mpinzani
Apande gari pendwa Shabiby line
Karatama😂😂😂💔Nyie bwana mmekariri,Mimi nitapanda Scania Katarama ya rockcity itanidrop hapo😁
EwaaKwani sgr haijaanza kazi ?
HahahahahaEwaa
Panda hiyo fasta
Usafiri wa kishua
Hahahahaha..elf sabini tuMwezi ujao sijui🤔🤔nauli ni sabini elfu Hela..