Yaani angekuwepo kungenoga SanaNazikosaje kwa mfanoππ₯
Sema leo sijafurahi ,yule Maza mzuri sabaha hayupo
Na wigi lake kama Asha ngedereππππNami namsubir yeye
Umemuona mtu mfupi alivocha huka
Talaka nginja nginja πππ
πππKasema pale mwisho msiingilie maamuz ya Mungu πππNa wigi lake kama Asha ngedereππππ
Mishangazi imeogelea toka kinyerezi hadi upanga kupata Raha za pwaniππππYaani angekuwepo kungenoga Sana
Mm nilijua Kutakuwa hamna sabbu ya mvua ila watu wa darπππ
Ndio avae lile wigi lol πππππKasema pale mwisho msiingilie maamuz ya Mungu πππ
Na makeup zimetulia au walibeba wamepak huko huko sema hii watu wamependeza sanaMishangazi imeogelea toka kinyerezi hadi upanga kupata Raha za pwaniππππ
Yule mama Sabaha Mimi huwa namkubali kuliko hawa wote,akifuatia na Mke wa Mzee Yusuf.
Kopa mbwembwe nyingi ila pumzi hana.
Na ule ufupi ππππNdio avae lile wigi lol ππ
Angejitanda kama huyu mwenzie anayeimba sasahivi
Kapendeza sana.
Wa kishua sana huyu dada aiseeMzungu mweusiπ
SanaNa makeup zimetulia au walibeba wamepak huko huko sema hii watu wamependeza sana
Sababa Yuko vizuri live ni noma
Gauni hilooNa ule ufupi ππππ
Uwanja mzima wake πππGauni hiloo
Kwa kweli na mbwembwe zake sasa
Yaani nimecheka π
YaaniππππUwanja mzima wake πππ
KashaingiaππYaaniππππ
Ngoja tumuone naye mama zuchu anavyotamba
Anatembeaga anaanza kuzunguka ukumbini kukusanya helaπ
Kajua kuwapatia ππAna mbwembwe
Kaja na wimbo uliochanganya
Pumzi hana sana kwenye sauti yakeKajua kuwapatia ππ