Selfika na JF: Snap it. Show it

Hee
Kumbe tajiri kachoka anawabwaga kweli!?!

Kweli makolo hawabebekiπŸ˜‚πŸ’”
We endelea kujifurahisha tu, mnaotaka Mo abaki ni ninyi Yanga ili Simba tuendelee kuteseka, ila sisi hatumtaki japo Yeye analazimisha kubaki
 
We endelea kujifurahisha tu, mnaotaka Mo abaki ni ninyi Yanga ili Simba tuendelee kuteseka, ila sisi hatumtaki japo Yeye analazimisha kubaki
Hee
Kumbe tajiri hamumtaki?
Bil 20 yake itakuwaje sasa?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Akiyanani mwamedi ameamini kweli masikini hawabebeki!πŸ™Œ
 
Kumbe mlifungiwa? Sasa watu badala watume picha kina Saint Anne na Jadda wanaleta mambo utopolo wao...
Reteni pichaaaaaa reteni pichaaaa
Nitake radhi mi siyo utopolo, mbona hakuna aliyezuiwa kutuma picha uzi si upo wazi jamani, watu Vinara wa kuomba picha za wenzao ila za kwao hawatumi πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Hee
Kumbe tajiri hamumtaki?
Bil 20 yake itakuwaje sasa?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Akiyanani mwamedi ameamini kweli masikini hawabebeki!πŸ™Œ
Haha iulize serikali, hatutaki matajiri wababaishaji, atuache tu na shida zetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…