Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😂😂😂😂😂😂😂😂
Ccy majuzi kati nimelala gafla nasikia paaaaaah, yani sauti ni kama imelia nje tu hapo getini.

Hapo nishachanganyikiwa najua ni majambazi yanatoka kuingia ndani hivo, hapo nikajiuliza pesa sina hao majambazi waje kufuata nin.


Kumbe ni nyumba ya jirani ccy walitaka kuvamiwa mwenye nyumba kapiga shaba juu juu😂😂😂😂😂😂
 
Ccy majuzi kati nimelala gafla nasikia paaaaaah, yani sauti ni kama imelia nje tu hapo getini.

Hapo nishachanganyikiwa najua ni majambazi yanatoka kuingia ndani hivo, hapo nikajiuliza p
esa sina hao majambazi waje kufuata nin.


Kumbe ni nyumba ya jirani ccy walitaka kuvamiwa mwenye nyumba kapiga shaba juu juu😂 �😂😂😂😂
😁😁😁😂😂😂!

Ndo shida za kukaa uzunguni sis wanajua nawe ni tajiri!😊


Weee akili kubwa sis unapambana na pesa unazo big up
 
😁😁😁😂😂😂!

Ndo shida za kukaa uzunguni sis wanajua nawe ni tajiri!😊


Weee akili kubwa sis unapambana na pesa unazo big up
Mtaa mzima ccy mi ndo sina gari😂😂😂😂😂😂.
Basi nikawa nawaza ccy hawa wanataka kuja kuiba ma hotpot yangu mapya nin😂😂😂😂
 
1712840426867.jpeg

Rock City
 
Back
Top Bottom