Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,225
Santo sana granpa!Hahaha........you have said it all 🤗
Santo sana granpa!Hahaha........you have said it all 🤗
🤠🤠🤠😁😁😁!Ngoja sisi sasa nguo zetu hahahhahahaha
Najua umeshafuturu kama Mimi, so cheers 🥂Santo sana granpa!
Sasa unakua na husband anakushawishi venye uvae vimini au skin jinzi unaachaje sasa na yy ndo mmliki... 😊 😆😆🤠🤠🤠😁😁😁!
Sie wengine shetani akasome🤠!
Wakaka Hawa Hawa wa kataa ndoa au Kuna balo jipya dada 😂😂😂Yani ww ni mpolee jamani...nashangaa wakaka wa JF wanachelewa haha wanione mimi kama dada mkuu nimalize jambo..yani ka sura kaupolee rangi ya mtume..🥰🥰🥰🥰
Granp Selfika nataka nikapike hebu uibles Jioni yetu kwanza pulllllllliiiiiiiiizzzzz !!!
Sio kweli bhana mbona mnavaa vizuri tu🤠🤠🤠😁😁😁!
Sie wengine shetani akasome🤠!
Wapo humu humu mbonaaa...sema ni wale wakimyaaa wanacomment mara moja moja sana...hahahahaWakaka Hawa Hawa wa kataa ndoa au Kuna balo jipya dada 😂😂😂
Sis unajua kulenga kwenye mshono wewe hahahaha. Wengine wenyewe mida mingine ndio wanatununulia zahivo tunavaa hakuna namna . Anything for him aseee!Sasa unakua na husband anakushawishi venye uvae vimini au skin jinzi unaachaje sasa na yy ndo mmliki... 😊 😆😆
Kabisa kabisa sis wala sio uongo hakuna namna..Sis unajua kulenga kwenye mshono wewe hahahaha. Wengine wenyewe mida mingine ndio wanatununulia zahivo tunavaa hakuna namna . Anything for him aseee!
Mungu anakuona ujue 😁😁😁🤠!Sio kweli bhana mbona mnavaa vizuri tu
I wish, I could have Camera W/man over here 😅🙌Granp Selfika nataka nikapike hebu uibles Jioni yetu kwanza pulllllllliiiiiiiiizzzzz !!!
Wee babu siasa umeanza lini??? Najua Umenidindia kunibless tu babuuu! Basi Wacha nisubirie hio keshoo granp!I wish, I could have Camera W/man over here 😅🙌
Kesho nitaomba Bibi yenu anifotoe Moja
Hadi niiediti maana Vijana waligomea kabisa Umri wa Babu yenu hapa 😜Wee babu siasa umeanza lini??? Najua Umenidindia kunibless tu babuuu! Basi Wacha nisubirie hio keshoo granp!
Huku ungeenjoy watu hawafatilian kabisaMungu anakuona ujue 😁😁😁🤠!
Mi saivi Huku niliko kumenishape fulani. Yani kipindi nimeajiriwa walikua wananishangaa sana . Na akili zangu mbili nungekua dar nahisi ningechizi mimi make napenda vinguo vyahovyo mnooo yani!
Habu nipe huyo mmoja mkimya nijaribu labda mtakunywa chai ya tangawiz na maandazi 😂😂😂Wapo humu humu mbonaaa...sema ni wale wakimyaaa wanacomment mara moja moja sana...hahahaha
🥰 🥰 😆😆😆🤣🤣🤣🤣🤣Habu nipe huyo mmoja mkimya nijaribu labda mtakunywa chai ya tangawiz na maandazi 😂😂😂
Ngoja nikuletee mwenyewe, nilikuwa navyo viwili 😜🏃🏃🏃
Hufuturishi shogaangu nizamieSwaumu kale ngoja nifuturu😃😃
😂😂Sina mambo mengi🥰 🥰 😆😆😆🤣🤣🤣🤣🤣