Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,842
- 57,491
Na wewe hujafunga Kwaresma?Mbona kama umenyooka
Hebu fanya kg 5 nionje na mie
Nipe address nitume bolt akuletee 🤗
Na wewe hujafunga Kwaresma?Mbona kama umenyooka
Hebu fanya kg 5 nionje na mie
NimefungaNa wewe hujafunga Kwaresma?
Nipe address nitume bolt akuletee 🤗
Sisi mashangazi hatuna baya shauri yakeHawajui mashangazi ni alcoholic.... 😂 😂 😂 😂
Hahaha......... hongera kuweza kufunga...... kwahiyo vile vitu vingine hujafunga?😜Nimefunga
Si unajua sisi tunafunga vitu tunavyopenda
Nmefunga vingi sana babu 🤣Hahaha......... hongera kuweza kufunga...... kwahiyo vile vitu vingine hujafunga?😜
Hivi nilitaka kusema nini...?
Jamani Uzee huu 🤗🏃🏃🏃
Hapo sawa, maana nilitaka kumtuma Paroko aje mkemee Pepo 😜Nmefunga vingi sana babu 🤣
Kiufupi vyotee
Labda anipe kitubioHapo sawa, maana nilitaka kumtuma Paroko aje mkemee Pepo 😜
Ngoja nikuletee mwenyewe, nilikuwa navyo viwili 😜🏃🏃🏃Labda anipe kitubio
Swaumu kale ngoja nifuturu😃😃Shogaangu selfika basiiii au swaumu imekaza
Zimefika salamu bila shakaOoh...... hongera sana
Utamfikishia salamu Mkwe wangu 🤗
Ngoja nifuturu dadaTUpia tena mdogao akeee...sijakuona long tym cheupe..
Mkumbushe kumalizia ile mahari yetu, Wazee bado tunaidai ile hela iliyobaki 😜Zimefika salamu bila shaka
🧐🧐🧐Huku wanaita kulima mwata
Story fupi fupi picha kwawingi Wapendwaaaa
Good evening
Kasema Hadi nizae watoto 2 alafu ndo nianze kudai😂😂Mkumbushe kumalizia ile mahari yetu, Wazee bado tunaidai ile hela iliyobaki 😜
Kumbe Mjukuu unajua kulima?Huku wanaita kulima mwata
Story fupi fupi picha kwawingi Wapendwaaaa
Good evening
Huo uzee ukowap kujizeesha tu 😃Uzee huooo.View attachment 2940215
Sura makunyanzi na mvi kwa mbaliii.Huo uzee ukowap kujizeesha tu 😃
Kweli ametuweza, ngoja nimwambie Bibi yenu akupe ile dawa ya Mapacha.Kasema Hadi nizae watoto 2 alafu ndo nianze kudai😂😂
Mi ni mkulima sana babu. Bibi alitulea na kutufundisha vizuri . Nimemmiso msamilie sana ( In Jr voice)Kumbe Mjukuu unajua kulima?
Kweli Bibi yenu alifanya kazi nzuri kuwafundisha 🤗