Hahaha..........Mwaka Jana nilipoenda Kijijini walinishangaa eti nimeshindwa kumaliza Ugali robo peke yangu, wanasema hivi hata nguvu za kuzalisha Wanawake utakuwa nazo kweli kama kaugali haka kanakushinda kumaliza Yego?
Nadhani mazingira yanachangia sana kubadiri mwenendo wa Kula