Mchape kwanza na umwambie aniombe msamaha ππππMnywani mtayamaliza tu inshallah.
Kitoto kizuri weye.
Chino na haki ya kupagawa tu maninah.
Fanya hivyo uduguu Mahondaw bday mwaka huu tunayo nakwambia, shetani kashapita ss hivi sasa ndio tutakuwa na strong friendship πTena huyu Red velvet isikose
Keki za kitajiri
Udugu ana picha Kali nyingi humu
Ntachagua tu moja Kali zaidi..
HeeeAlafu bana unajua ile serious kabisa, Lamomy alipanga siku ya birthday ya Antonnia, amzawadie simu iPhone. Serious kabisa
Nikitulia ntatafuta hizi chats nikuletee kama ushahidi wa alichopanga, aliniambia hili kama miezi miwili iliyopita
ππππ Ni waongo waongo shauri yakoWanasiasa siyo watuπ
Shemeji yangu NuzulatiChat na picha
Halafu nilitaka kumfanyia km surprise ushaharibu na wewe πππAlafu bana unajua ile serious kabisa, Lamomy alipanga siku ya birthday ya Antonnia, amzawadie simu iPhone. Serious kabisa
Nikitulia ntatafuta hizi chats nikuletee kama ushahidi wa alichopanga, aliniambia hili kama miezi miwili iliyopita
ππShemeji yangu Nuzulati
Nasubiri hapaSoon nakuwekea yote
Dude nalikubali ilo la 100 kilos aiseee!!!100 kilos ferre gola
Mokolo luemba akendeki mobembo
Na Ko Sala Nini guy luembe oboyi nga
Na Ko Sala Nini guy luembe oboyi nga
View attachment 2919292
Ntakaa naye faraghaMchape kwanza na umwambie aniombe msamaha ππππ
Lasivyo amtafute wifi yake mwingine mi sitaki teeenaa πππππ
Hapa nishammiss udugu wangu, nna arosto la ubuyu kweli
πππ Mimi sinaga uadui kabisaaa.. haswaaa kwa uduguu wangu, hapa nishammiss mwenyewe πππNtakaa naye faragha
na udugu utarudi kama zamani usijali.
Uzuri wako nachokupendea huna uadui wa kudumu.
Hauna nyingine tena hapo mchuchu.
WeuweeeHalafu nilitaka kumfanyia km surprise ushaharibu na wewe πππ
Uduguu hii ni kweli kabisaa nilipanga nkufanyie bonge la surprise kwa jinsi nilivyokuwa nakukubali basi tu.!!!
Sijui kwann shetani kapita, nilitaka nikupe iphone hii serious kabisaaa ilitoka moyoni.!!
Dah!! Ila shetani mbaya sana ππππ
Ila nitatimiza ahadi uduguu akikubali, halafu mimi nilitaka tuwekane sawa tu wala sijammind.!! Ningemmind ningepandisha mashetani muda huu ningekuwa na ban
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Oyaaa we mzee sumbai hivi Bantu Lady umemficha wapi
Kabisa dada yangu dude ni kalii sana hiliDude nalikubali ilo la 100 kilos aiseee!!!
Wakongo wanajua tuache utani
Nii hii chinga au ndio ming'oko hii maana nyinyi wamakonde mnakula vitu vya ajabu sana ππ€£π€£π€£πI mean no malice to nobody, jobless pro max π€.
View attachment 2919302
ππππ udugu wangu wa motoHeee
Udugu ake anahamia kwenye iphone sasaπ₯π₯π₯
Sipati picha maphoto makali yatakayotoka hapo
Sasahivi tu itel inatutetemeshaπ₯
Ntakuletea subiriWanasiasa siyo watu[emoji38]