ππππ Sasa ndio afanane jina na mimi huyo cuteβ¦β¦
Kantry kaamua kuchangamsha kijiwe sina pesa yoyote, nimefulia niko choka mbayaβ¦
Hapa nasubiri anipe pesa nianze biashara ya kukopesha sabuni π€£π€£π€£
Nilikuwa namlinganisha na dada Fulani hivi naye ni mfanyabiashara mkubwa Kariakoo...trip zake za china huko..
Sasa namna huwa anapost status na jokes za hapa na pale unaweza dhani mwenzetu maana anachat hadi na sisi makapuku,hanaga hiyana kumbe!
Hela anayo na wala huwa hajitapi
Tone yake inaendana sana na cute..na nilikuwa nadhani ni yeye.
Ila alivyopost picha naona siyo yeye.
Sasa ndio afanane jina na mimi huyo cuteβ¦β¦
Kantry kaamua kuchangamsha kijiwe sina pesa yoyote, nimefulia niko choka mbayaβ¦
Hapa nasubiri anipe pesa nianze biashara ya kukopesha sabuni