Selfika na JF: Snap it. Show it

Mkimaliza mtuambie chanzo cha mtafaruku wenu

Cc Lamomy

Hatujawazoea hivi
 
Ila humu mbona watu ni malimbukeni na ni washamba jamanii kumbe humu ni bora usijuane na mtu hii comment imejaa kinyaa na aibu.
Si umeona uliyotaka kuyajua jana nikakwambia ww tulia mahi mambo mazuri hayataki haraka πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Humu kila siku nasema usije kujuana na mtu, uzuri mimi simchambi mtu na id nyingine kujifanya malaika huwa nakuchamba na hii inayokusifia sina unafiki
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Kila mwanaume anaibiwa yeye
Afu wanaume wa JF waongo jaman
Wanasifia msambwanda afu wanaibiwa na tuwatu twembamba
Lenie uliwezaje kumuiba babu
Nimeona yuko mjiniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ntaka npate hata tumilioni twa haraka
 
Naaam naaam

Sisi nikuangalia picha tuπŸ˜‚
 
Aliepropose video humu ninani??? Nilifuatilia koments za Nyuma vizuri sana Ndio nikaomba videos zilipoanzia sijawahi omba tuweke video aliesema Hivo niwewe na kumbe ile siku uliweka ulitaka tugundue nini?
Miongozo miongozo miongozo nawee njoo upewe mwongozo resources zipoooo !
 

Attachments

  • Screenshot_20240228-120503.jpg
    269.1 KB · Views: 9
Unamuumiza udugu wako

#kudate suala 1
Kuhongwa vinono suala lingine
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Inamuuma ww ulihongwa gari nini?? Mana yeye anahongwa maneno ya kubebishwa tena kwa kuforce πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Halafu ule uzi alijifungulia mwenyewe kuwarusha roho πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sele alimpa password akaamua kuwarusha roho nyie JF tamu sana
 
Ile siku ile tulikuwa tuna vibe nikaweka video na ndio iliokuuma mpk ukaja na id nyingine kulalamika sasa pale uliumia nini?? Mbona video ya kawaida sana uduguuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hebu weka yako nione ulivyo tukunyema

Miongozo sijawahi hata kuwa na msissimko naye kwanza ulisema ana Ukimwi, sasa mimi wagonjwa wa kazi gani?? Eeee uduguu wangu?? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ndio muda wa kutangaza keki sasa
Muda wa mapumziko wanakula zao red velvet taratibu huku tunawasubiri
Hawana bayaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kabisa

Matajiri eeeh
Nauza keki jamani
Tena Red velvet ni za matajiri tupu

Kupamba stori,mnanunuliana na keki kabisa na wachumba wenu
Mimi huyooo naipamba ikapambika πŸ”₯β€οΈπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘Œ
 
Unafahamu fika kinachoniuma ni kunihusisha na ids mpya humu wewe unazingua na kutoka mwenyewe utasema yoteee afu mi sijafungua hata mdomo wangu!
Ukajifanya kumtumia Antoniia ndio kuja kufatilia vizuri kujua yalipoanzia !

Usijifanye fyatu wewe
 

Attachments

  • Screenshot_20240228-120503.jpg
    269.1 KB · Views: 8
πŸ˜ƒπŸ˜ƒkumbe anafosi? Hahaaa
Dah! Si kaolewa na mjeda? Sa anafosi nn apate jipya lipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…