Humu kuna wachawi, km huna roho ya paka unatema ndoano ππππ
Ila JF kuna mtu unamuona shosti huwezi amini anachat piem na mpz wako na wanakuteta kabisaaa!!!
Humu kuna wachawi, km huna roho ya paka unatema ndoano ππππ
Ila JF kuna mtu unamuona shosti huwezi amini anachat piem na mpz wako na wanakuteta kabisaaa!!!
Humu hakuna urafiki kila siku mimi nasema, humu ni kwa kukaa kwa password πππ
Mi nna ushahidi kabisa bro mmoja kapiga mtu na shogaake na bi mkubwa hajui
Kwa hali ya kawaida asingepanic vile bana, hivi national na Rab nani kati yao ulimpenda sana??
Na mjep na eron naye nani ulimpenda sana??
Mana hao wote ndio uliambiwa ulitoka nao humu π
Humu hakuna urafiki kila siku mimi nasema, humu ni kwa kukaa kwa password πππ
Mi nna ushahidi kabisa bro mmoja kapiga mtu na shogaake na bi mkubwa hajui