Selfika na JF: Snap it. Show it

🀣🀣🀣🀣 JF nyoko mi kuna mtu alimfata kantry kumpa ushauri kuhusu mimi.!!
Yani humu mpk mababa na wamama wa kiroho wapo!!
Uwii mwenyewe nilishangaa kabisa yaani wivu wa aina Gani hivyo

Humu wanataka ukiwa na couple msionyeshane upendo

Mfichane kama dawa ya mbu
 
Dada una elimu ya uchonganishi [emoji16][emoji16][emoji16]
Unawachanganyaa waja, akat mie ni dume na ni shoga, sasa huu dada nautoa wapiiii?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], jamani mie nataka DA tin anipe ubuyu wote mwaa mwiiiii.
 
Mkuu hivi uliponaga vidonda vyako vya tumbo ?????

Tumia app mpya ipo playstore kaka
Mungu ni mwema,nilipona kabisa
Nakula kitu hadi beer nakunywa siku hizi..

Nilitaka nilete mrejesho,nimetafuta uzi wangu jf wameufuta hata sijui kwanini..

Kuna jamaa alinitibia yuko humu humu sema wakati mwingine unaweza shirikisha watu ukaonekana na wewe ni mpigaji.
 
Uwii mwenyewe nilishangaa kabisa yaani wivu wa aina Gani hivyo

Humu wanataka ukiwa na couple msionyeshane upendo

Mfichane kama dawa ya mbu
Aikoooooo! Couple? Couple? Couple humuu? 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 kweli sikio la kufwa humu unapigwa na I'D Saba za kiumbe mmoja nyie nyieeee shauri zenu
 
Nyie huu uzi leo wa moto unaenda kwa episode [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Max njoo utulipishe tuchangie Forum
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Weh ndo wataenda kwa mwingine huyo
Na kumjaza maneno kibao

Demu yule ana Ngoma ni hajatulia
Vikundi vinaundwa huko pm kwa lengo la kukuchafua w ke .



πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mwaya kufichana haihusu kabesaaaa!! (In uduguu voice)
Ww tuonyeshe ikifika mwisho basi kamata mwingine haina kupoa
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mwaya kufichana haihusu kabesaaaa!! (In uduguu voice)
Ww tuonyeshe ikifika mwisho basi kamata mwingine haina kupoa
Halafu humu mbona watu wana achana na hawa nyooshewi vidole,mfano ni Niffer wala kwa amani sababu Mwanaume alikuwa mtulivu shida ukiwa na wake wenza wengi 😁😁😁
 
Aikoooooo! Couple? Couple? Couple humuu? 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 kweli sikio la kufwa humu unapigwa na I'D Saba za kiumbe mmoja nyie nyieeee shauri zenu
Humu couple haifai Bora uende nje huko duniani

Ni stress free mkiachana , mwingine huyo .
 
Hatujawahi kuonana

Humu watu ni wabaya sana ni wanaenda na silaha kabisa za vita

Mtu anajifanya huyo demu ni wangu

Mara mhuni hajatulia na maneno kibao .

Ndo ikabidi nimwambie huyo kaka watu niliowahi onana humu .
Eeeeeeh haya mapyaa sasa, hao wahuni ni kina nani wataje DA tin tafadhariiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Em apia km Rab hakukukula wee? Na hamjawahi kuonana kweliii?
 
Weh ndo wataenda kwa mwingine huyo
Na kumjaza maneno kibao

Demu yule ana Ngoma ni hajatulia
Vikundi vinaundwa huko pm kwa lengo la kukuchafua w ke .
Sema hujapata mwanaume mwenye msimamo angewashushua wote wangerudi sura zimewashuka πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…