Selfika na JF: Snap it. Show it

Natumai siku yatakwisha haya
Ongeeni na kuwekeana sawa juu ya hilo ili yaishe .


 
Weee kumbe??
Sema nini mimi kila mtu best yangu, sina permanent best naomba tuelewane huyo ni shogaako ww mpk na pesa mlikuwa mnaombana
kumekuchaaaaa, km pesa hata wee nilikua nakuomba na ulikua unanipaaaaa.

Afu mbona mie huwa naomba waziii wazi, ni wengiii tyuuh. Hili sio ajabu kabisaaa.

Kwani nyie imekuajeee?? Uduguuuu???
 
Amani imetoweka baada ya kubebewa miongozo kuwa specific buana 😂😂😂😂
Uzi ulifungwa sababu ya Tin na Rab
Ule mwingine ulifungwa baada ya bwanaako Sele kuachwa na kukurudia wewe haya lamomy hapo kafunga uzi kivipi??
Kwanza uzi umefungwa nikiwa na ban…
Hebu lete story nyingine…
Mi sio coca anayekubembeleza na kukuogopa kisa unamtumia vihela, mi nna pesa zangu hapa nakuja kurefresh you know 😎
 
Ndio nakwambia useme nahio alute ni Yangu! Sikia sina muda wa kujibizana upuuzi sihusiki nahizo ids na nishakwambia sioni Sababu ya kukujia na ids mpya!
Mimi niwe Tin nije kuomba msamaha humu???? Bwahahahahahah Nimecheka kwa dhaarrrrraaaaaaaaauuuuu🙄🙄🙄🙄🙄!
Nishakujua ni rafiki wa aina gani Sina muda nawee so give me a break pulllllllliiiiiiiiizzzzzzzz!!!! 🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️!
 
Ndio nakwambia useme nahio alute ni Yangu! Sikia sina muda wa kujibizana upuuzi sihusiki nahizo ids na nishakwambia sioni Sababu ya kukujia na ids mpya!
Mimi niwe Tin nije kuomba msamaha humu???? Bwahahahahahah Nimecheka kwa dhaarrrrraaaaaaaaauuuuu🙄🙄🙄🙄🙄!
Nishakujua ni rafiki wa aina gani Sina muda nawee so give me a break pulllllllliiiiiiiiizzzzzzzz!!!! 🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️!
 
😂😂😂😂 nikwambie mara ngapi mimi sio rafiki yako??? Aarrghhhh ww ni mtu wa kunipa ubuyu tu, rafiki yangu niliyemvalia chupi mahi
Ww umesema hiyo id yako ss hivi tena unakataa kweli ww kubwa jinga
 
kumekuchaaaaa, km pesa hata wee nilikua nakuomba na ulikua unanipaaaaa.

Afu mbona mie huwa naomba waziii wazi, ni wengiii tyuuh. Hili sio ajabu kabisaaa.

Kwani nyie imekuajeee?? Uduguuuu???
Wewe ulikuwa unaforce km uliziweka kwa shoga ako 😂😂😂
Kwanza ww ni dume tumeambiwa na mipicha yako tunayo 🤣🤣🤣
 
Hehee hebu niache mie coca
Ni ujinga na utoto nilifanya .

I'm so naive ,yaani nafall mazima
Ujinga mkubwa huu na namuamini mtu mpaka basi ..
Sasa wee una muaminii vipiii mtuu bhanaaa?
alikupaaa nn hadi ujitoe muhanga hvyoo?

Kipi special alikupaaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…