Selfika na JF: Snap it. Show it

Achana na haya mambo Tin cz hata mim pia husema watu tena kwa mabaya na mazuri. Sisi sote ni binadamu na wadhaifu.

Lakini kama umeamua kutojihusisha kwa sababu ya mtu unaowazidi akili ccy unakosea, raha jipe mwenyewe.
Yani Asante sana ..

Hii ndo adhabu nzuri nayotakiwa kuipata baada ya kuwa mjinga kiasi kile .

Muda mwingine inafaa kujipa adhabu mwenyewe baada ya kushindwa kutumia akili na kutumia hisia .
 
Hehee makubwa hao vijana waongeze dau wafike hata 50K
Wawazidi wazee (jokes)

Ila jeifu lol humu ndani ni πŸ”₯

Mimi sio muongeaji dear hapa yenyewe macho yanauma usingizi .

Vitu vingine nishasahau ili kujiponya nafsi .

 
Coca njoo shemeji anakukana hadharani leo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Uduguu umepewa talaka wahi uje unisaidie kulia 😭😭😭😭😭😭

Ila watu mapashkuna khaaa!! Kwahiyo mnaenda pm kumsema mtu utafikiri mnamjua au huyo coca mnamjua??
Kweli JF watu wanayaweza sio kidogo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Shem ungewaambia β€œndio na ww njoo nikukaze” ili watumie muda wao vzr humu JF shubhamiti hao πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sijamuona, mzuri kweli? Mkaree kweli?
Warumi......
 
Hehee makubwa hao vijana waongeze dau wafike hata 50K
Wawazidi wazee (jokes)

Ila jeifu lol humu ndani ni πŸ”₯

Mimi sio muongeaji dear hapa yenyewe macho yanauma usingizi .

Vitu vingine nishasahau ili kujiponya nafsi .
Oyoooooooo!! Vijana kuna ujumbe wenu hapa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ila vibabu vina sifa yani kiss vinatoa sate whooooufff πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Vijana ongezeni kasi vibabu vinashambulia sana karibu na goli lenu
 
Ooh safi sana

Wazee tuwaheshimu tu inatosha ..
Vijana japo wasumbufu tuwavumilie tu ..
 
Siweziiiiiiii shindana na people venye wako mwisho wa reli 🀣🀣
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Vijana huyu beki kawauza inaonekana kakata tamaa, vibabu vinaendelea kujiokotea point za buree na mabinti wamegoma kupewa afu tatu…. Namuona kijana kaachia goli babu afunge goaaaaaaalllll

Vibabu 2-Vijana 0
Haya mpira unaendelea Half american anatoa pasi ya 5k naona babu Grahams anaizuia kwa 20k fasta…. Namna gani paleeeee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…