Selfika na JF: Snap it. Show it

Sawa sweetheart...
Forever and always love Tuendelee kufurahia wananchiiiiπŸ’›πŸ’›πŸ’›πŸ’›πŸ’›πŸ’›πŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€ΈπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’š!
 
Daima mbele nyumaa mwikoo sis
Tushatandika mtu kimoko hukooo!πŸ’šπŸ’›πŸ’›πŸ’›πŸ’›πŸ’›πŸ’šπŸ’šπŸ’š!

Pacome DayπŸ€ΈπŸ’šπŸ’šπŸ’›πŸ’ͺπŸ’ͺ
That's my girl... πŸ’•πŸ’•πŸ’•
 
That's my girl... πŸ’•πŸ’•πŸ’•
Forever and always babe β™₯️!

Niko na furaha balaa leo . Yanga imejua kunikoshaaaaπŸ€ΈπŸ€ΈπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺ!
Thank youuuuuu πŸ’‹πŸ’‹πŸ’‹πŸ’‹
 
Tinsley
Waylen
Babe gal usiwe na wasiwasi kujichanganya na kuchangia chochote selfika au popote.
Sisi sote ni binadamu na sisi sote hukosea

Yule alokufanyia ule upumbavu alisahau kua yeye pia ni binadamu na ana madhaifu mengi pengine hata kukushinda wewe.

Hakuna binadamu alokua na mabaya tu hata wema pia.
Ukiona ujumbe wangu tafadhali
Ufanyie kazi.
 
Genious sis! Uko na akili mingi sana wee mwanamke!!

Hakika mumeo amepata jembe!!

Sema Tin anaonekana ana moyo mdogo sana hawezi kuhendo anavonangwa humu!

Kwanza asingeomba hata ule msamaha!

Ye Aje aendelee na life lake tu
 
πŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’›πŸ’›!🎡Ntakupenda leo kesho mpaka pumzi ya mwisho may be even more πŸ’ͺ🎢🎢🎢


Smart911 πŸ€ΈπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’ž!

Mrare unono wapendwaaa πŸ’›πŸ’›πŸ’šπŸ’šβœŒοΈβœŒοΈ
Na picha
 

Attachments

  • Screenshot_20240224-210016~3.jpg
    70.5 KB · Views: 2
Genious sis! Uko na akili mingi sana wee mwanamke!!

Hakika mumeo amepata jembe!!

Sema Tin anaonekana ana moyo mdogo sana hawezi kuhendo anavonangwa humu!

Kwanza asingeomba hata ule msamaha!

Ye Aje aendelee na life lake tu
Kabisa ccy Waylen Tinsley ukipata jumbe hizi tafadhali uje ujee ujee.
Sisi pia tunakosea na tunawakosea watu pia na wanatusamehe na kutupenda tena, Kwa sababu hatuna mabaya pekee na mazuri pia au ccy Mahondaw unasemaje.
 
Nilijua tu sweetheart... πŸ’• πŸ’• πŸ’• πŸ’•
 
Genious sis! Uko na akili mingi sana wee mwanamke!!

Hakika mumeo amepata jembe!!

Sema Tin anaonekana ana moyo mdogo sana hawezi kuhendo anavonangwa humu!

Kwanza asingeomba hata ule msamaha!

Ye Aje aendelee na life lake tu
Kabisa ccy Waylen Tinsley ukipata jumbe hizi tafadhali uje ujee ujee.
Sisi pia tunakosea na tunawakosea watu pia na wanatusamehe na kutupenda tena, Kwa sababu hatuna mabaya pekee na mazuri pia au ccy Mahondaw unasemaje.
 
Kabisa ccy Waylen Tinsley ukipata jumbe hizi tafadhali uje ujee ujee.
Sisi pia tunakosea na tunawakosea watu pia na wanatusamehe na kutupenda tena, Kwa sababu hatuna mabaya pekee na mazuri pia au ccy Mahondaw unasemaje.
Ifike wakati ajifunze kuwa na roho ngumu humu maneno yapo tu hayaishi!
Kwani mtu akimuongelea ye anapungukiwa nini??? Halii? Halalii??? Hanywi maji?? Hadinywi na mtuwe ??? Hapumuiii???

Hakuna cha kukosa wala kuomba msamaha mtu humu !
Kwanza watu wakikuongelea unakua supastar yani bila wewe hawana cha kujadili humu bila wewe hawasikiki jf🀠🀠🀠🀠🀠!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…